johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ndio sababu wanamshangaa Makonda.Alafu Bashiru na polepole hawajawahi kupitia hata uvccm,walikuwa ni wanahalakati.
Lemutuz kamletea jopo la wachawi ndiyo tegemeo lake
Kwa hiyo waendelee kuwa wanahalakati?Ndio sababu wanamshangaa Makonda.
Huwezi kuupata ukuu wa nchi kutokea kwenye ukuu wa mkoa ni lazima ujiongeze....Makonda ni mwanasiasa ndio maana ametake risk akipenya tu 2025 anatangaza nia kukalia kiti cha Chamwino!
Kama mwenyekiti analisema alafu halipewi uzito basi ujue ndani ya chama maisha yao ni sawa na yale ya ukoo wa kambaleHata mwenyekiti ameyasema hayo Mara kadhaa. Kitu unachotakiwa kujua kwa sasa ni kwamba kwenye siasa hakuna suala linalokosa majibu.
Ila sema sifa moja kubwa ya kuwa mwana CCM ni kukosa aibu. Utaona wanavyotembea vifua mbele kama hawakutamka lolote huko nyuma.
Hapa wanapimana ubavu. JPM alimtosa Nape sababu ya DAB, nadhani ndo kitakachowapata hawa jamaa wawili.
Aliwasema wengine, kwa DAB lazima lazima ameze maneno yake
Wana la kujitetea. Watasema ile “tamaa ya madaraka” walimaanisha kwamba huwezi kuendelea kuwa RC huku ukiwa umetia nia. As long as Bashite kaachia uRC, hana tamaa[emoji4]. CCM ni wabobezi kwenye mambo ya kupiga u-turn highway
Acha wivu kakaKatika hili sakata la kukemea tamaa za madaraka wanalokemewa wanaotaka Ubunge, hasa Makonda na wengine, hawa kina Bashiru na Polepole wamekuwa mbele mno hadi kusema wanayoyasema. Ndo Mwenyekiti wao anayasema.
Sasa ikitokea Mwenyekiti wao kawageuka, na hao 'wenye tamaa ya Madaraka wamepitishwa', naona la maana watakalolifanya ni kujiuzulu; vinginenevyo wataweka wapi sura zao? Tutawaamini vipi wakija kusema mengine kuwa Mwenyekiti kasema?
Wanaweza mkuu,Hivi Nape na DAB wanaweza hata kupeana mikono?
Wanaharakati sio wanahalakatiKwa hiyo waendelee kuwa wanahalakati?
Katika hili sakata la kukemea tamaa za madaraka wanalokemewa wanaotaka Ubunge, hasa Makonda na wengine, hawa kina Bashiru na Polepole wamekuwa mbele mno hadi kusema wanayoyasema. Ndo Mwenyekiti wao anayasema.
Sasa ikitokea Mwenyekiti wao kawageuka, na hao 'wenye tamaa ya Madaraka wamepitishwa', naona la maana watakalolifanya ni kujiuzulu; vinginenevyo wataweka wapi sura zao? Tutawaamini vipi wakija kusema mengine kuwa Mwenyekiti kasema?
kwenye siasa hakuna suala linalokosa majibu.
mkuu utakuwa umechoka kufikiri, yaani kabisa unamuwazia makonda kuwa rais wa nchi?!.Ndio sababu wanamshangaa Makonda.
Huwezi kuupata ukuu wa nchi kutokea kwenye ukuu wa mkoa ni lazima ujiongeze....Makonda ni mwanasiasa ndio maana ametake risk akipenya tu 2025 anatangaza nia kukalia kiti cha Chamwino!
Katika hili sakata la kukemea tamaa za madaraka wanalokemewa wanaotaka Ubunge, hasa Makonda na wengine, hawa kina Bashiru na Polepole wamekuwa mbele mno hadi kusema wanayoyasema. Ndo Mwenyekiti wao anayasema.
Sasa ikitokea Mwenyekiti wao kawageuka, na hao 'wenye tamaa ya Madaraka wamepitishwa', naona la maana watakalolifanya ni kujiuzulu; vinginenevyo wataweka wapi sura zao? Tutawaamini vipi wakija kusema mengine kuwa Mwenyekiti kasema?
Polepole aliwahi kusema 2015 UCHAGUZI UKIWA HURU NA WA HAKI CCM IJIANDAE KUKABIDHI IKULU.Katika hili sakata la kukemea tamaa za madaraka wanalokemewa wanaotaka Ubunge, hasa Makonda na wengine, hawa kina Bashiru na Polepole wamekuwa mbele mno hadi kusema wanayoyasema. Ndo Mwenyekiti wao anayasema.
Sasa ikitokea Mwenyekiti wao kawageuka, na hao 'wenye tamaa ya Madaraka wamepitishwa', naona la maana watakalolifanya ni kujiuzulu; vinginenevyo wataweka wapi sura zao? Tutawaamini vipi wakija kusema mengine kuwa Mwenyekiti kasema?
Ebu wacha vichekesho vya futuhi, Makonda nini anacho kifahamu?
Aliwasema wengine, kwa DAB lazima lazima ameze maneno yake