Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmewaona Sasa makuwadi wa Bashite? Mmoja Huyu hapaMakonda anaijua CCM kuliko Bashiru na Polepole.
Kamati Kuu ya CCM ina wajumbe 24 bwashee na hao ni wawili tu!
KweliDAB ana siri nyingi za maovu ya yesu wa lugola hivyo hawezi kumtosa hata akikosa Ubunge kule Kigamboni tusishangae akipewa wa viti maalum na kuzuka kwenye uwaziri kamili.
Kati ya watu ambao siwaamini ni Polepole, anayoyasema si anayosimamia.Katika hili sakata la kukemea tamaa za madaraka wanalokemewa wanaotaka Ubunge, hasa Makonda na wengine, hawa kina Bashiru na Polepole wamekuwa mbele mno hadi kusema wanayoyasema. Ndo Mwenyekiti wao anayasema.
Sasa ikitokea Mwenyekiti wao kawageuka, na hao 'wenye tamaa ya Madaraka wamepitishwa', naona la maana watakalolifanya ni kujiuzulu; vinginenevyo wataweka wapi sura zao? Tutawaamini vipi wakija kusema mengine kuwa Mwenyekiti kasema?
Usiyempenda utamkuta bungeni na hiyo kofia yako!Mmewaona Sasa makuwadi wa Bashite? Mmoja Huyu hapa
Mchakato ukiwa fair, Makonda akashinda, kunahaja gani ya kujihudhuru! Au mie sielewi maana ya democrasia! Msiwape presha viongozi wetu kirejareja namna hii!Katika hili sakata la kukemea tamaa za madaraka wanalokemewa wanaotaka Ubunge, hasa Makonda na wengine, hawa kina Bashiru na Polepole wamekuwa mbele mno hadi kusema wanayoyasema. Ndo Mwenyekiti wao anayasema.
Sasa ikitokea Mwenyekiti wao kawageuka, na hao 'wenye tamaa ya Madaraka wamepitishwa', naona la maana watakalolifanya ni kujiuzulu; vinginenevyo wataweka wapi sura zao? Tutawaamini vipi wakija kusema mengine kuwa Mwenyekiti kasema?
Hivi nape amechukua fomu sijamsikia kabisa,,,,,Hapa wanapimana ubavu. JPM alimtosa Nape sababu ya DAB, nadhani ndo kitakachowapata hawa jamaa wawili.
Hao ni Ukoo wa Panya ,Bashite anapitishwa na kina polepole na bashiru wataendelea na vyeo vyao huku wkiwa na uso mkavu kama hawajasema kitu,hao watu ni mabingwa wa kubadilika ,washaongea mengi wakati wapo upande wa pili na baada ya kupata shushu wameakana maneno yao.Katika hili sakata la kukemea tamaa za madaraka wanalokemewa wanaotaka Ubunge, hasa Makonda na wengine, hawa kina Bashiru na Polepole wamekuwa mbele mno hadi kusema wanayoyasema. Ndo Mwenyekiti wao anayasema.
Sasa ikitokea Mwenyekiti wao kawageuka, na hao 'wenye tamaa ya Madaraka wamepitishwa', naona la maana watakalolifanya ni kujiuzulu; vinginenevyo wataweka wapi sura zao? Tutawaamini vipi wakija kusema mengine kuwa Mwenyekiti kasema?
Mwenyekiti ni Mwenyekiti uamuzi wake haupingwi na viongozi wengine au mtu yeyote ndo maana tumeona watendaji wateule wake wote wameachana na nyadhifa zao na kuchukua Fomu za kuomba Ubunge kwa ahadi toka juu ili wakapumzike wakipata mapato makubwa. Tunaona wateule wanakimbilia Ubunge nafasi zao zikijazwa saa hiyohiyo kutoka kwenye orodha kubwa ya waunga mkono juhudi wale wakikosa Ubunge watapangiwa kazi nyingine. Wateule wengine ndo watasimamia Uchaguzi na kutangaza matokeo wakionywa wasitangaze wapinzani washindi au wapoteze ajira zao na maslahi. Hao Makatibu nao wanatekeleza maagizo toka juu na wana maslahi ya kulinda kwa hiyo Makonda na wateule wengine waliojaza Fomu tutaenelea kuwa na nao Kama Wabunge au watendaji mbalimbali. Once in you are in, Chama hakitupi makada wake wanazungushwa tu!Katika hili sakata la kukemea tamaa za madaraka wanalokemewa wanaotaka Ubunge, hasa Makonda na wengine, hawa kina Bashiru na Polepole wamekuwa mbele mno hadi kusema wanayoyasema. Ndo Mwenyekiti wao anayasema.
Sasa ikitokea Mwenyekiti wao kawageuka, na hao 'wenye tamaa ya Madaraka wamepitishwa', naona la maana watakalolifanya ni kujiuzulu; vinginenevyo wataweka wapi sura zao? Tutawaamini vipi wakija kusema mengine kuwa Mwenyekiti kasema?
Ndugu kweli itasikitisha sana iwapo, Makonda atapitishwa Kigaboni, kwani hana ushawisi mkubwa hapo, kuna baadhi ya wagombea wana ushawishi mkubwa sana, lakini hawana support MK.Katika hili sakata la kukemea tamaa za madaraka wanalokemewa wanaotaka Ubunge, hasa Makonda na wengine, hawa kina Bashiru na Polepole wamekuwa mbele mno hadi kusema wanayoyasema. Ndo Mwenyekiti wao anayasema.
Sasa ikitokea Mwenyekiti wao kawageuka, na hao 'wenye tamaa ya Madaraka wamepitishwa', naona la maana watakalolifanya ni kujiuzulu; vinginenevyo wataweka wapi sura zao? Tutawaamini vipi wakija kusema mengine kuwa Mwenyekiti kasema?
Makonda amekuwepo kwenye mifumo ya ndani ya chama kabla Bashiru na Polepole hawajakaribishwa.
DAB ana siri nyingi za maovu ya yesu wa lugola hivyo hawezi kumtosa hata akikosa Ubunge kule Kigamboni tusishangae akipewa wa viti maalum na kuzuka kwenye uwaziri kamili.
Kwa ninavyoona Makonda akipitishwa na ccm tu... Ubunge huo kauchukua hata bila kuiba kura.
Atawaleta wasafi wote na kila Bongo movie unaemjua. Kwanini wananchi wasimchague. Na pesa atamwaga za kutosha.
Ni wangapi hao wenye akili?Wenye akili hawashawishiwi na miziki ya kijinga, bali ni sifa tu za mgombea ndiyo zinatazamwa.
Mmewaona Sasa makuwadi wa Bashite? Mmoja Huyu hapa
Kati ya watu ambao siwaamini ni Polepole, anayoyasema si anayosimamia.
Usiyempenda utamkuta bungeni na hiyo kofia yako!