Pengine ngoja tuoneAtakuwa mtulivu, aliyekuwa anamtia kiburi hayupo
Thubutu! Bashite kwishinei wanangu. Akavue sangara kwao au kulima pamba. Natamani akachunguzwe amepata wapi huu ukwasi alio nao.Mh Rais, Makonda bado ni kijana sana kupotea kwenye siasa, pamoja na mapungufu na mabaya yake usimuache. Itapendeza zaidi akiwa Mkuu wa Mkoa wa Pwani, awe karibu na rafiki yake Ridhwani. Ikishindakana Pwani basi hata Mkoa mmoja wa Kanda ya Ziwa awe karibu na nyumbani na karibu na nyumba ya milele ya Mzee mpendwa wake
Mjini hapa hata Mzee hakumrudisha
Kwani Makonda hawezi kuishi bila ya kuwa Mkuu wa mkoa?Mh Rais, Makonda bado ni kijana sana kupotea kwenye siasa, pamoja na mapungufu na mabaya yake usimuache. Itapendeza zaidi akiwa Mkuu wa Mkoa wa Pwani, awe karibu na rafiki yake Ridhwani. Ikishindakana Pwani basi hata Mkoa mmoja wa Kanda ya Ziwa awe karibu na nyumbani na karibu na nyumba ya milele ya Mzee mpendwa wake
Mjini hapa hata Mzee hakumrudisha
Acheni kupangia watu Cha kufanyaMh Rais, Makonda bado ni kijana sana kupotea kwenye siasa, pamoja na mapungufu na mabaya yake usimuache. Itapendeza zaidi akiwa Mkuu wa Mkoa wa Pwani, awe karibu na rafiki yake Ridhwani. Ikishindakana Pwani basi hata Mkoa mmoja wa Kanda ya Ziwa awe karibu na nyumbani na karibu na nyumba ya milele ya Mzee mpendwa wake
Mjini hapa hata Mzee hakumrudisha