Makonda alichaguliwa na nani kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Hamasa ya Taifa Stars ?

bora timu itolewe tu mashindanoni kuliko kuongozwa na wahamasishaji wa dizaini hii ambao ni dhahiri timu itakaposhinda watasema ni juhudi za "mtukufu".

kama mbwai na iwe mbwai!
 
bora timu itolewe tu mashindanoni kuliko kuongozwa na wahamasishaji wa dizaini hii ambao ni dhahiri timu itakaposhinda watasema ni juhudi za "mtukufu".

kama mbwai na iwe mbwai!
Unajua Wallace Karia anaamini anaweza kuitumia TFF atakavyo , anajidanganya sana ! ni vema akamuuliza Ndolanga
 
Sasa ukisikia kufeli hapo tumefeli kweli kweli kwasababu haiwezekani mtu asie kuwa na uelewa na mpira hata 00.001% apewe cheo kama hicho nawaambie tunapoelekea hata michuano ya secafa tutaisikia kwa majirani tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alichaguliwa na shetani au ww

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uhamasishaji bila ushawishi ni kazi bure,
Ingekuwa anawahamasisha UVCCM sawa ila sio watanzania.

Uganda piga hilo genge la Bashite na Lemutuz siku ya jumapili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bashite ameprove failure kwa kila anachokianzisha,MF vita dhidi ya madawa ya kulevya, usafiri bure kwa Waalim,mgambo wa Makonda na mengine lukuki, kwenye mpira atupishe huko!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
taarifa za nyuma ya pazia zaonyesha kwamba lengo la waunda kamati hii ni kutafuta sifa .
Huyo kiongozi wa hiyo kamati ni nini amewahi kufanya kikakamilika na kikasimama machoni pa watu?

Ona sasa Mlevi Piere na Wema ndio wanatumika kuhamasisha watu.

Kuna vitu lazma tukubali hatujajaliwa na Mwenyezi Mungu hata kama tukiwa na mamlaka makubwa vipi.

Hivi Simba waliunda kamati ya kuhamasisha?
Yote hayo ni tisa, kumi ni kwamba, hata kama tutaunda kamati ya aina hiyo basi wanaoiunda pamoja na kiongozi wake ni lazima wawe watu wenye mahusiano mazuri na jamii. Watu safi.


Uganda watawaachia majirani zao washinde kwasababu wao hawana cha kupoteza.
 
Eti mpiga picha za utupu naye kageuka kuwa mhamasishaji ! basi wamchukue na yule Amber nini sijui aje naye ahamasishe , Mungu siyo fala wa kubariki laana
 
Umenena vyema ndg TFF & AMUNIKE hawawezi kutupeleka kokote hata km by default tukafuzu afcon hakuna tunachoenda kukifanya ksb hakuna mipango endelevu ya kuinua soka letu zaidi ya zima moto na uswahili wakutosha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…