Makonda alitoa wapi zaidi ya Sh. Bilioni moja kujenga nyumba binafsi. Je, mshahara wa Mkuu wa Mkoa kwa miaka 3 unatosha?

Makonda alitoa wapi zaidi ya Sh. Bilioni moja kujenga nyumba binafsi. Je, mshahara wa Mkuu wa Mkoa kwa miaka 3 unatosha?

Matusi ni kielelezo cha kuishiwa hoja.
Bwana ako bashite siku akifika kwenye viunga vya mahakama tu, ndio utakuwa mwisho wake. Watajitokeza watu mamia kwa maelfu kuwasilisha ushahidi wao kama ilivyokua kwa Sabaya. Unadhani ni kwanini anaruka ruka kufika huko? Time will tell..
 
Bwana ako bashite siku akifika kwenye viunga vya mahakama tu, ndio utakuwa mwisho wake. Watajitokeza watu mamia kwa maelfu kuwasilisha ushahidi wao kama ilivyokua kwa Sabaya. Unadhani ni kwanini anaruka ruka kufika huko? Time will tell..
Akili za kimaskini ndio hizi. Vipi na wale mamilioni ya watu aliowatendea mema na wao watamshtaki?.
 
Akili za kimaskini ndio hizi. Vipi na wale mamilioni ya watu aliowatendea mema na wao watamshtaki?.
Ha.wara una mimba changa wewe? Kosa moja halijawahi kufutwa kwa maelefu ya mema, huko mtaani kwenu huoni wezi wa kuku kwa mara moja tu wakichapwa mvua za kutosha kupitia mahakama zenu hizo za CCM? Una umri gani we ki.baka wa lumumba?
 
Makonda akae kwa kutulia wenye ccm yao wameamuamu kudeal nae taratibu na kumtia adabu.
 
KUJENGA GHOROFA HUWA NI KWANZIA SH. NGAPI? USKUTE NI ZILE GHOROFA ZA 300MIL, SASA NAYO NI GHOROFA HIYO AU MFANO WA GHOROFA.
 
Hata angelipwa Milioni moja kwa siku, Bunge la katiba walikaa chini ya miezi kumi na mbili, Hawakukaa mwaka mzima

Haya kwa siku 300,000 week ni 2,100,000

Kwa mwezi ni 8,400,000

Kwa mwaka ni 100,800,000 yaani Milioni mia moja na laki nane

Je Bunge la katiba walikaa mwaka mzima?

Walikaa chini ya miezi 5

Makonda hata ukijumlisha Mali za ukoo wake na ndugu zake na marafiki zake hawana uwezo wa Kumiliki bilioni moja

Makonda ni mtanzania maskini kama Wengine, Aliridhika na Mali za kupora na matako yakalia mbwata eti anakula raha kuliko watu wote hapa Tanzania kwa Mali za uporaji


.
Kuna tetesi anafanya na madawa.

Enzi zake za ukuu alikuwa anatoa misaada mpaka ya milioni 500
 
Makonda alikuwa mwizi tuu, hana biashara yeyote inayoeleweka zaidi ya kibarua cha ukuu wa mkoa, bilion ya kujenga kaiba au kadhulumu tuu achunguzwe huyu, lakini nani wa kumchunguza wakati serikali nzima wezi watupu, tunaweza kumsamehe lakini kwa utekaji na ushenzi mwingine lazima awajibike kama Sabaya
 
Mwana alikuwa tycoon
IMG-20220313-WA0294.jpg
 
Back
Top Bottom