Bwana ako bashite siku akifika kwenye viunga vya mahakama tu, ndio utakuwa mwisho wake. Watajitokeza watu mamia kwa maelfu kuwasilisha ushahidi wao kama ilivyokua kwa Sabaya. Unadhani ni kwanini anaruka ruka kufika huko? Time will tell..Matusi ni kielelezo cha kuishiwa hoja.
Akili za kimaskini ndio hizi. Vipi na wale mamilioni ya watu aliowatendea mema na wao watamshtaki?.Bwana ako bashite siku akifika kwenye viunga vya mahakama tu, ndio utakuwa mwisho wake. Watajitokeza watu mamia kwa maelfu kuwasilisha ushahidi wao kama ilivyokua kwa Sabaya. Unadhani ni kwanini anaruka ruka kufika huko? Time will tell..
Ha.wara una mimba changa wewe? Kosa moja halijawahi kufutwa kwa maelefu ya mema, huko mtaani kwenu huoni wezi wa kuku kwa mara moja tu wakichapwa mvua za kutosha kupitia mahakama zenu hizo za CCM? Una umri gani we ki.baka wa lumumba?Akili za kimaskini ndio hizi. Vipi na wale mamilioni ya watu aliowatendea mema na wao watamshtaki?.
Kuna tetesi anafanya na madawa.Hata angelipwa Milioni moja kwa siku, Bunge la katiba walikaa chini ya miezi kumi na mbili, Hawakukaa mwaka mzima
Haya kwa siku 300,000 week ni 2,100,000
Kwa mwezi ni 8,400,000
Kwa mwaka ni 100,800,000 yaani Milioni mia moja na laki nane
Je Bunge la katiba walikaa mwaka mzima?
Walikaa chini ya miezi 5
Makonda hata ukijumlisha Mali za ukoo wake na ndugu zake na marafiki zake hawana uwezo wa Kumiliki bilioni moja
Makonda ni mtanzania maskini kama Wengine, Aliridhika na Mali za kupora na matako yakalia mbwata eti anakula raha kuliko watu wote hapa Tanzania kwa Mali za uporaji
.
Hata 300 kwa mtumishi bado ni nyingi piaKUJENGA GHOROFA HUWA NI KWANZIA SH. NGAPI? USKUTE NI ZILE GHOROFA ZA 300MIL, SASA NAYO NI GHOROFA HIYO AU MFANO WA GHOROFA.
Sawa tu, wewe nitafsiri vyovyote unavyojuaChawa kazini
Kakopa benKwa hiyo baada ya kukopa walimfutia deni au? Maana makonda biashara hawezi
Walikaa miezi mingapi?Bunge la katiba walilipwa pdm ya laki 3, tuanzie hapo!
Ana zaidi ya utajiri wa 30B, huyu Ally Hapi, Jery Muro, Sabaya, Mrisho Gambo na Mnyeti walikuwa majangili wakubwaMwana alikuwa tycoonView attachment 2149757
AseeMwana alikuwa tycoonView attachment 2149757