M Mzalendo07 Member Joined Feb 24, 2014 Posts 71 Reaction score 120 Feb 8, 2024 #1 Makonda nguvu yako inaitajika kwenye swala ukataji wa Umeme. Kama kweli unamoenda Mama msaidie kwenye ili awa jamaa wanamdanganya. Hawawezi wakawa wanakuja na sababu tofauti kila siku. Ni uwongo
Makonda nguvu yako inaitajika kwenye swala ukataji wa Umeme. Kama kweli unamoenda Mama msaidie kwenye ili awa jamaa wanamdanganya. Hawawezi wakawa wanakuja na sababu tofauti kila siku. Ni uwongo
pwilo JF-Expert Member Joined May 27, 2015 Posts 10,913 Reaction score 13,876 Feb 8, 2024 #2 Sasa matatizo yatakuwa hayaishi kwasababu siku akiondoka makonda wezi wanarudi pale pale.