Makonda amwandikia ujumbe Zari wa Diamond

Pole ya nini kwani huyo zari na diamond ni mke na mume ?wte hao si mahawara wake tu kila mwenye kuwashwa washwa waende tu kwa diamond dume la kupandishia kwa sababu kama zari anataka kutulia na diamond kwa nini wasioane tukajua kwamba ni mke na mume na kila mtu ataheshimu ndoa yao lakini hapo mabeto kaingia kwa sababu anajua hakuna ndoa.
 
Makonda yupo sahihi diamond sio mtu mdogo hapa nchini ni mmoja kati ya vijana wenye ushawishi mkubwa pia ni rahisi kupata hata uongozi kutokana na influenc aliyokuwa nayo.
Uongozi? AKASOME KWANZA..azibe na tundu la pua,atoe na kiduku
 
Mzee wa kulialia tu, hana kazi ya kufanya.
 
DAB ni nouma....hakuna nafasi ya kukiki anaiacha ipite...
 
Nilihisi toka mwanzo kuwa huu unaweza kuwa ni mpango wa kuzima ile koloboi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…