kilama
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 2,745
- 1,989
Of kozi mtusamehe sisi wanaume lakini ndo hivyo ikitokea ni kutubu na siku ziendeziendeHata Victoria Beckham alishavumilia infidelities za David lakini hakuna iliyofikia kuzaa nje.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Of kozi mtusamehe sisi wanaume lakini ndo hivyo ikitokea ni kutubu na siku ziendeziendeHata Victoria Beckham alishavumilia infidelities za David lakini hakuna iliyofikia kuzaa nje.
Mtu akicheat inauma lakini mtoto atakukumbusha yale maumivu maisha yako yoteOf kozi mtusamehe sisi wanaume lakini ndo hivyo ikitokea ni kutubu na siku ziendeziende
Wazungu hawategeshi Mimba ovyo ovyo kama Wanawake zetu wa Manzese.Hata Victoria Beckham alishavumilia infidelities za David lakini hakuna iliyofikia kuzaa nje.
Mkumbuke condomsWazungu hawategeshi Mimba ovyo ovyo kama Wanawake zetu wa Manzese.
Ni kweli kuna wakat nilikuwa nikidhani cheating inauma akifanyiwa mwanaume tu, sasa najaribu kuigeuza halow inauma tena sio kitoto nafikiri kwa mwanaume anaweza akamwacha kabisa na mwanamke mwenyewe..!!Mtu akicheat inauma lakini mtoto atakukumbusha yale maumivu maisha yako yote
Hamtaki! Mnasema Zinawawasha...Mkumbuke condoms
Hahahahahaha nyie watu nyie mnakata usingizi wangu kwa sababu ya kucheka kupita kiasi..!!!Wengi mmoja yuko humu cjui anaitwa chanel koko na mdogo wake mbwa koko
mtoto raha sana mwambie.alitaka amkatae mtoto sio? hizo mambo aachie wenye mbegu zao
Heshima kwakoMtoto sio mswambwanda useme tu kila mtu anaye.
Mtoto Wa nje nialiezaliwa kabla ya ndoa Na wandani nibaada ya ndoaHivi Diamond ana mtoto wa nje na wa ndani?!! Unaposema mtoto wa nje una maana gani??
Nasubiria wakujibuKwani walishawahi kufunga ndoa??
na dharau kubwa kuzaa nje wakati uko ndani ya ndoaHata Victoria Beckham alishavumilia infidelities za David lakini hakuna iliyofikia kuzaa nje.
Lakini naskia wanawake mna mioyo ya kusamehe saba mara sabiniMtu akicheat inauma lakini mtoto atakukumbusha yale maumivu maisha yako yote
Hasa akiwa yule unaempenda hata akikununulia box la chocolate tu yamekwisha. Tatizo hawa maisha yao yako insta lazima waangalie watu watareact vipi.Lakini naskia wanawake mna mioyo ya kusamehe saba mara sabini