Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Hichi ndiyo kinamuuma zaidi ZariDah ila dee mshenzi wallah..ndani ya kitanda anacholala na zari kampea mimba na mtoto kazaliwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hichi ndiyo kinamuuma zaidi ZariDah ila dee mshenzi wallah..ndani ya kitanda anacholala na zari kampea mimba na mtoto kazaliwa
Hii siyo fair aisee.Hichi ndiyo kinamuuma zaidi Zari
Baada ya Diamond kuweka wazi kuwa kazaa nje ya ndoa, mwananziki mkongwe Profaseer jay ampongeza Diamond kuwa mkweli.
Upande mwingine Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ameguswa na uchungu na kumwandikia ujumbe wa pole zari the boss lady kujua yote pitia video hii.
mtoto raha sana mwambie.alitaka amkatae mtoto sio? hizo mambo aachie wenye mbegu zao
Hawana ndoa wote wazinzi tu shida iko wapi.Kwani walishawahi kufunga ndoa??
hahahaha ngoja nijikumbushe
Honey kuna nissan jeupe hapa nje... nishuke?Kwa Lissu ana maumivu ya kukosa shabaha.
hahaha natamani sana huyu msukuma kwakweliMi love ❤️ Gwajima