Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Jiulize tu siku ya shambulio la Lissu huyo Bashite alikuwa wapi??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiulize tu siku ya shambulio la Lissu huyo Bashite alikuwa wapi??
alihusika kwa asilimia 100% hilo nalijua na hata kuna mtu wake wa karibu alivujisha hili la lissuJiulize tu siku ya shambulio la Lissu huyo Bashite alikuwa wapi??
Mku Watoto ni mpango wa Mungu. Lakini ana mtotoHa haha ha ha ha ha mbavu zangu wewe unadhani ule mfungashio wa nyuma una tofauti na kazi ya Zarina?? halafu mnaulizia kwanini hana mtoto........... Hebu nipisheni mie nikabiliane na hali yangu
Sijui dar tulimkosea nini mungu kumpata rc wa dizaini hii
Sijaona kiongozi yoyote wa serikali issue za udaku kama hizi eti anapost kumpa pole zari
Hata tundu lissu hujawah kumpa pole hata siku moja
Muda wa ofisini unakaa instagram
Wa kumpa pole zali ni mwanaume au mwanamke kama zari?
Nimeshangaa sana
Tuna rc wa ajabu kuwahi kutokea
Kwa Lissu ana maumivu ya kukosa shabaha.
Mkuu, hata ITV saa mbili huwa hauangalii.? Au saa 12 jioni habari za jiji letu?Dar napasikia tu
Umepanic tayari.Mgeanza kuwauliza mama zenu kwanza huenda alikuwa anatafuta mtoto si kila siku mnasema hazai.
Afadhali mi si wa Dar..Anawakilisha watu wa Dar.
Naomba iwe utani tu..khaaaaaaHuyu pamoja na u-RC pia ni baba mlezi wa WCB, So ni haki baba mkwe wa Zari kutafuta suluhu. hahah
Huyu hana rafiki wa kudumuSijui dar tulimkosea nini mungu kumpata rc wa dizaini hii
Sijaona kiongozi yoyote wa serikali issue za udaku kama hizi eti anapost kumpa pole zari
Hata tundu lissu hujawah kumpa pole hata siku moja
Muda wa ofisini unakaa instagram
Wa kumpa pole zali ni mwanaume au mwanamke kama zari?
Nimeshangaa sana
Tuna rc wa ajabu kuwahi kutokea
Sisi tunajua hvyo...basi si atuumbue tu.Mgeanza kuwauliza mama zenu kwanza huenda alikuwa anatafuta mtoto si kila siku mnasema hazai.
kweli vile sikutanii nenda insta kacheki WCB kama utamuona huyu baba mlezi.Pitia post za chini kabisaNaomba iwe utani tu..khaaaaaa
Sisi tunajua hvyo...basi si atuumbue tu.
[emoji13] [emoji13] [emoji13] mkoja ulete mwenyewKwa Lissu ana maumivu ya kukosa shabaha.