Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha haha ha ha ha ha mbavu zangu wewe unadhani ule mfungashio wa nyuma una tofauti na kazi ya Zarina?? halafu mnaulizia kwanini hana mtoto........... Hebu nipisheni mie nikabiliane na hali yangu
Iv hyo konda amekulia usukumani au dar?
Aisee! Kwa hyo katolewa koromije ad kupewa ukuu Wa wilaya ndani ya jiji?akienda sna mjini ilikua ni misungwi mkuu !lakini hiko kipande cha koromije kbs
[emoji23]~~~>>>Huyo jamaa ni kiazi kikuu..........
I wish I could be gwajMi love ❤️ U Gwajima
hivi angempa lissu pole si ndio angejipalia makaa kwa matusi humu mtandaoni?Sijui dar tulimkosea nini mungu kumpata rc wa dizaini hii
Sijaona kiongozi yoyote wa serikali issue za udaku kama hizi eti anapost kumpa pole zari
Hata tundu lissu hujawah kumpa pole hata siku moja
Muda wa ofisini unakaa instagram
Wa kumpa pole zali ni mwanaume au mwanamke kama zari?
Nimeshangaa sana
Tuna rc wa ajabu kuwahi kutokea
Huyo anawashwawashwa kma mstaafuSijui dar tulimkosea nini mungu kumpata rc wa dizaini hii
Sijaona kiongozi yoyote wa serikali issue za udaku kama hizi eti anapost kumpa pole zari
Hata tundu lissu hujawah kumpa pole hata siku moja
Muda wa ofisini unakaa instagram
Wa kumpa pole zali ni mwanaume au mwanamke kama zari?
Nimeshangaa sana
Tuna rc wa ajabu kuwahi kutokea