Makonda amwandikia ujumbe Zari wa Diamond

Makonda amwandikia ujumbe Zari wa Diamond

Hasa akiwa yule unaempenda hata akikununulia box la chocolate tu yamekwisha. Tatizo hawa maisha yao yako insta lazima waangalie watu watareact vipi.
Hapo inategemea Diamond atacheza vipi karata zake, yeye na Zari wanawatoto wawili kitu ambacho kinaweza kua advantage kwenye ku reconcile kama akidhamiria,lakini karata ya kwanza(kwenda public issues ya Mobeto) kaicheza vibaya kwa mtazamo wangu
 
Wazungu hawategeshi Mimba ovyo ovyo kama Wanawake zetu wa Manzese.
Ndo hivyo inabidi ujifunze japo kalenda mkuu ...anavyokuambia yupo kwenye Mp kama mchepuko wako wa kudumu utakuwa unaelewa tu siku zake za nzuri za kushika mimba (nyie mnaita za hatari) hivyo unatumia silaha za mahangamizi maana kuna age flani mwanamke huamua kuwa na mtoto baada ya kushindwa kupata mtu perfect wa kufanya nae maisha...wengine huomba mimba na wengine hutegeshea lakini pia wengi wao pamoja na kutegeshea huwa wamejipanga kulea wenyewe ila ukijiongeza kama baba ni bonus ila wengine wanakutegeshea na wanapita kutoa shutuma (hivyo hakuna namna mwanamke akipata mimba ni umeamua mwenyewe hivyo jipange namna ya kulea na kulifikisha kwa mkeo pia vinginevyo tumia condom)
 
Hapo inategemea Diamond atacheza vipi karata zake, yeye na Zari wanawatoto wawili kitu ambacho kinaweza kua advantage kwenye ku reconcile kama akidhamiria,lakini karata ya kwanza(kwenda public issues ya Mobeto) kaicheza vibaya kwa mtazamo wangu
Zari amempenda sana Diamond na yuko proud to be the only woman in his life. Kitendo cha Diamond kukubali mtoto in public it was ahumiliation to Zari. Lakini Diamond anaweza kucheza na akili ya Zari vile anavyopenda public ijue.
 
T
Zari amempenda sana Diamond na yuko proud to be the only woman in his life. Kitendo cha Diamond kukubali mtoto in public it was humiliation to Zari. Lakini Diamond anaweza kucheza na akili ya Zari vile anavyopenda public ijue.
Though sina hakika kama the two make a perfect couple lakini napenda na natamani wayamalize warudi kama zamani...that's my wish atleas
 
Makonda na wewe si ulikuwa unamfanyia mkeo hivyo hivyo wakati una date na Kajala..
Ushauri wa kipumbavu hakuna mfanowe.
 
goal la away lataka moyo sana kumwambia mkeo..hasa ambae unaona mnapiga hatua kila kukicha ktk ustawi wa kifamilia...
me mwenyewe huo mtihani ninao ila nitauchuna mpaka palipo andikwa basi....
 
Makonda must conduct himself as a respectable RC.

Part of that is not injecting himself in the personal and domestic squabbles of every Tom, Dick and Harry.

That will only serve to undermine his integrity and good standing as a leader.

Wait. I forgot.

Does he have any left?
 
Baada ya Diamond kuweka wazi kuwa kazaa nje ya ndoa, mwananziki mkongwe Profaseer jay ampongeza Diamond kuwa mkweli.

Upande mwingine Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ameguswa na uchungu na kumwandikia ujumbe wa pole zari the boss lady kujua yote pitia video hii.



Mambo ya kuingilia mambo binafsi na ndoa za watu haya
 
Back
Top Bottom