PUSHKIN 2000
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 362
- 176
CHADEMA wanajipambanua kuwa ni MAADUI wa SERIKALI kama haitoshi MKO kwenye vita na RC ....sasa mnatafuta sympathy ya nini? UNDAVA UNDAVASijui dar tulimkosea nini mungu kumpata rc wa dizaini hii
Sijaona kiongozi yoyote wa serikali issue za udaku kama hizi eti anapost kumpa pole zari
Hata tundu lissu hujawah kumpa pole hata siku moja
Muda wa ofisini unakaa instagram
Wa kumpa pole zali ni mwanaume au mwanamke kama zari?
Nimeshangaa sana
Tuna rc wa ajabu kuwahi kutokea