Kimalingano
JF-Expert Member
- Mar 27, 2023
- 709
- 919
Nimependa hoja ya Makonda.Waziri Mkuu, Kassimu Majaliwa amefika katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam (JNIA) kama mgeni rasmi katika tukio adhimu la kupokea ndege mpya aina ya Boeing B 737-9 ya Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), leo Machi 26, 2024.
MAKONDA: ANACHOKIFANYA RAIS SAMIA NDICHO ALIKIFANYA MAGUFULI
Mh Magufuli zama zake zishapita na hazirudi tena. Hivi zamu ya mama SamiaWaziri Mkuu, Kassimu Majaliwa amefika katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam (JNIA) kama mgeni rasmi katika tukio adhimu la kupokea ndege mpya aina ya Boeing B 737-9 ya Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), leo Machi 26, 2024.
MAKONDA: ANACHOKIFANYA RAIS SAMIA NDICHO ALIKIFANYA MAGUFULI
Makonda vs January Makamba.Waziri Mkuu, Kassimu Majaliwa amefika katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam (JNIA) kama mgeni rasmi katika tukio adhimu la kupokea ndege mpya aina ya Boeing B 737-9 ya Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), leo Machi 26, 2024.
MAKONDA: ANACHOKIFANYA RAIS SAMIA NDICHO ALIKIFANYA MAGUFULI
Vipi mmeangalia na kujiridhisha kwamba hiyo ndege haijaja na wahamiaji haramu?mgeni rasmi katika tukio adhimu la kupokea ndege mpya aina ya Boeing B 737-9 ya Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), leo Machi 26, 2024.
Hatuoni ufanisi wa haya mashirika ni wizi tupuNinaipongeza Air Tanzania kupokea ndege mpya. Hongereni sana. Napenda kuuliza tu hapo awali walisema kuwa ndege aina za MAX zilikuwa na matatizo katika uundwaji huko kiwandani. Je haya matatizo yamerekebishwa. Tukumbuke ile ya Ethiopia iliyopata ajali ilikuwa MAX 8. Kama haya matatizo yamerekebishwa ni jambo zuri sana.
Biashara kichaaa Duaniani zi azo kwepwa na Matajiri wengiNinaipongeza Air Tanzania kupokea ndege mpya. Hongereni sana. Napenda kuuliza tu hapo awali walisema kuwa ndege aina za MAX zilikuwa na matatizo katika uundwaji huko kiwandani. Je haya matatizo yamerekebishwa. Tukumbuke ile ya Ethiopia iliyopata ajali ilikuwa MAX 8. Kama haya matatizo yamerekebishwa ni jambo zuri sana.
Wazazi wako nina uhakika kule kijijini wanalisha life gumu sana kwa sababu ya CCM, hilo unalijua fika, sasa wewe endelea kubweka Lisu Lisu.Hizi fake ID zinawafuchia aibu sana ya haki halosi yalife lenuLisu atajinyonga kwa wivu akiona legacy inaendelea
Nchi nyingi huwa zinafikia uamuzi wa kuuza Mashirika yao ya ndege, hii ni biashara yenye hasara ni kugusa tu, Hio Air Tanzamia ni hasara kila CAG akikagua, pesa ambazo zingeenda kuwasaidia huduma kule kijijini kwa wazazi wako ndio zinaenda kulipa Mishahara pale Air Tanzania. sasa endelea kushangilia mjingaLisu atajinyonga kwa wivu akiona legacy inaendelea
JauTupewe taarifa kamili kuhusu hizi ndege aina za MAX 8,9 vinginevyo tutaviogopa sana.
Umemaliza kijana umeongea kwa uzito wake!Huyu mjinga akiongea bila kumtaja huyu jini wake jiwe nadhani anaugua.
Walikuwa wapenzi ndiyo.maanaHuyu mjinga akiongea bila kumtaja huyu jini wake jiwe nadhani anaugua.