Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AJE JIMBO LA UKANGA BHANA, ATATUFAA SANA MAANA HUKU MAJI SHIDA, BARABARA SHIDA. YAAAAANI YAAAANI...AJE TU HUKU KURA ZETU ATAPATA WALA SAIWE NA SHAKAKwa wakazi wa Kigamboni nakiri kusema itakuwa furaha sana kama Mh Makonda akiwa mbunge kupitia jimbo hili, maana huyu jamaa yupo karibu sana na Mh Raisi hvyo atatumia ukaribu huo kufanya ushawishi wa utekelezaji wa miradi mbalimbali ya kijamii ktk jimbo hili..!!!
Win Win situation, tumpe ubunge tukimbie kimaendeleo
Licha ya mapungufu yake lakn Baniani mbaya kiatu chake dawa
Polepole hamuwezi makonda atulie makonda afanye yakeLicha ya Polepole kuwaonya wateuliwa wanaowinda ubunge wa Kigamboni taarifa za ndani zinasema bado Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Mheshimiwa Makonda anapitapita kutafuta ubunge Kigamboni.
Kwa sasa mbunge wa kigamboni ni Faustine Ndugulile wa CCM.
Tazama pia kauli ya Polepole aliyoitoa miezi michache iliyopita
Sure.Makonda anawaumiza kichwa wapinzani
Popote atakapokwenda HAKUNA mpinzani wa kumsumbua....Mzumbe aende kwa waitara alikotoroka ukonga
Magufuli mitano tenaHili swali waulize wananchi wa Namibia, Ila hapa bongo hata mtoto wa chekechea anajua RAISI atakuwa nani
Magufuli 5 tenaUnamjua tayari Rais wa 2020-25?
Kila siku anafanya makongamano chuo cha mwalimu Nyerere tunamuoma anatokea getini mule sijui ichi chuo cha CCMLicha ya Polepole kuwaonya wateuliwa wanaowinda ubunge wa Kigamboni taarifa za ndani zinasema bado Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Mheshimiwa Makonda anapitapita kutafuta ubunge Kigamboni.
Kwa sasa mbunge wa kigamboni ni Faustine Ndugulile wa CCM.
Tazama pia kauli ya Polepole aliyoitoa miezi michache iliyopita
Wewe jamaa bhana makonda hawezi kuwa speakerHivi Mbunge wa jimbo na mkuu wa huo mkoa nani mkubwa au target ni Uwaziri? Na je Waziri na mkuu wa mkoa nani mkubwa? Au Target ni uspika?