Makonda ashtakiwa kwa Bashiru, hakika wameamua kumzuia Paul

Majungu hayapikwi barazani, Bali jikoni. Kila wakati Makondaa, nakumbuka miaka kadhaa nyuma kuna mchungaji mmoja alisema amelifuta jina la Makonda milele, the question is, if he did so, Why does this man still exist?? Wekeni akiba ya Maneno
Unajuaje kama hakufutika?,. Unabii hautimii kama radi. Weka akiba ya maneno
 
Wana vijibweni, hii misumari mmedhamilia kumpoteza makonda kwenye ramani ya Dunia?
 
Hii barua umeandika wewe? Umepataje unsigned soft copy?
 
Majungu hayapikwi barazani, Bali jikoni. Kila wakati Makondaa, nakumbuka miaka kadhaa nyuma kuna mchungaji mmoja alisema amelifuta jina la Makonda milele, the question is, if he did so, Why does this man still exist?? Wekeni akiba ya Maneno
Lingekua halijafutwa angeshinda kura za maoni.. popote atakapoenda ni mkasi tu hamna namna!
 
Hii barua sio yakupuuzwa wanakigamboni tupo wamoja katika hili cc Humphrey Polepole

Here we go again, scare mongers at their Zenith!! Why Makonda petrifies a living daylights out of you people?

Kura zimekwisha pigwa na matokeo yako wazi - cha ajabu mnakwenda mbali zaidi mnajifungia chumbani kama wachawi kumuandikia Mzalendo Bashiru barua iliyo sheheni majungu na fitina za kitoto, hell bent, just to get even na Makonda kutokana na wivu tu na wala si kitu kingine.

Watu wote wenye akili timamu hawawezi kuichukulia seriously these wild allegation levelled against Makonda, they know are being driven by rabid hatred of Makonda as a person - sina shaka ngazi za juu za vikao vya juu vya CCM watalitambua hilo kwa kurudisha jina la Mzalendo Makonda, he fits the bill - kitu cha kwanza: ni mchapa kazi,Mzalendo, jasiri, mwajibikaji hana traits za insurbonation kwa wakubwa wake kazini (point ya muhimu sana).
 
Msalimie lemutuz na wote mnaoishi kupitia mgongo wake.
 
Ni sisi Wana CCM wapenda haki vijibweni?

Kwenda kwa Katibu Mkuu moko kwa moko! Malalamiko haya yamerekodiwa katika ngazi ya Wilaya au Mkoa? Utaratibu wa Malalamiko kufuata Hierarchy ya chama ikoje?

Au ndio kupigilia msumati wa mwisho kwenye jeneza la bwana huyu?
 
Majungu hayapikwi barazani, Bali jikoni. Kila wakati Makondaa, nakumbuka miaka kadhaa nyuma kuna mchungaji mmoja alisema amelifuta jina la Makonda milele, the question is, if he did so, Why does this man still exist?? Wekeni akiba ya Maneno
Mungu wetu hujibu kwa wakati wake, si ambao utakao wewe.
Ulitarajia baada ya Mch kutamka basi siku hiyohiyo Makonda naye apotee!!!
 
Leo Makonda,Kesho itakuwa Bwana yule.
Birds of the same feathers flying together. The aforeseen is shaping up. Stay tuned huenda tukashuhudia mengi yanayoweza kujibu masuala mengi kuhusu yule wa upande ulee (jina kapuni) and " apparent cockiness to dare".
Talking of strategies and dominoes falling. Really?
 
Tayari naona bundi yule wa bungeni Dodoma kashatua kwa Makonda.
 
Majungu hayapikwi barazani, Bali jikoni. Kila wakati Makondaa, nakumbuka miaka kadhaa nyuma kuna mchungaji mmoja alisema amelifuta jina la Makonda milele, the question is, if he did so, Why does this man still exist?? Wekeni akiba ya Maneno
Hiyo barua kaandikiwa katibu mkuu wa ccm, na imeandikwa na wana ccm wenyewe sasa hapo wewe unalalamika kitu gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…