Makonda ataka watumishi wa Monduli waliokwapua milioni 52 kupitia mashine za POS wapelekewe moto kwelikweli

Makonda ataka watumishi wa Monduli waliokwapua milioni 52 kupitia mashine za POS wapelekewe moto kwelikweli

Leak

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2012
Posts
52,916
Reaction score
43,505
Wanasema ukifikiri umeona kila jambo hapa nchini basi ujue unajidanganya!

Huko Monduli Arusha Watumishi nane wamebainika kuiba milioni 52 kupitia mfumo wa poss na cha kushangaza walipewa muda wa kuzilipa pesa hizo na hadi sasa hawajafanikiwa kuzilipa!

Mbele ya Mkuu wa mkoa wa Arusha, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Monduli Bi Happiness Raphael Laizer alikiri kuwa watumishi hao walibainika kuiba pesa hizo na waliwapa muda wa kuzilipa na mbele ya Mkuu wa Mkoa, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Monduli aliomba muda wa wiki moja ili ahakikishe wanazilipa!

IMG_2474.jpeg
 
Wanasema ukifikiri umeona kila jambo hapa nchini basi ujue unajidanganya!

Huko Monduli Arusha Watumishi nane wamebainika kuiba milioni 52 kupitia mfumo wa poss na cha kushangaza walipewa muda wa kuzilipa pesa hizo na hadi sasa hawajafanikiwa kuzilip...
Unawapa muda wezi? Hivi hii nchi ina tatizo gani?

If inwas RC hao wote wangeenda ndani, mnalea tabia za ajab ajabu
 
Njaa za kijinga sana.

Vijipesa vichache lakini mafisi hawaachi kitu. Hata shilingi mia anakwapua!

Sijui ni ugonjwa wa akili? Wanasaikolojia watusaidie!
 
Kama walijikopesha wazirudishe tu.

Nyie mnaoshangaa hata mkipewa hayo majukumu ya kukusanya mapato ndiyo mtakomba kila kitu.

Nimeifanya hii kazi kwa takribani miaka mitano.
 
Bado wa sifa ya kuwaongoza watu kwa tukio kama hilo?
Nashangaa sana hawa viongozi wa halmashauri zetu,ukiwa unaomba kazi ukitokea idara za chini yao,wanakusema sana kana kwamba wao ni wasafi sana.
 
Wanasema ukifikiri umeona kila jambo hapa nchini basi ujue unajidanganya!

Huko Monduli Arusha Watumishi nane wamebainika kuiba milioni 52 kupitia mfumo wa poss na cha kushangaza walipewa muda wa kuzilipa pesa hizo na hadi sasa hawajafanikiwa kuzilipa....
Plea bargain kupatita!
 
Unawapa muda wezi? Hivi hii nchi ina tatizo gani?
If inwas RC hao wote wangeenda ndani, mnalea tabia za ajab ajabu
Mkuu hujui hapo kunandugu wa viongozi, nani wa kumuwajibisha sasa inabaki kelele tu
 
Wanasema ukifikiri umeona kila jambo hapa nchini basi ujue unajidanganya!

Huko Monduli Arusha Watumishi nane wamebainika kuiba milioni 52 kupitia mfumo wa poss na cha kushangaza walipewa muda wa kuzilipa pesa hizo na hadi sasa hawajafanikiwa kuzilipa!

Mbele ya Mkuu wa mkoa wa Arusha, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Monduli Bi Happiness Raphael Laizer alikiri kuwa watumishi hao walibainika kuiba pesa hizo na waliwapa muda wa kuzilipa na mbele ya Mkuu wa Mkoa, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Monduli aliomba muda wa wiki moja ili ahakikishe wanazilipa!

View attachment 3001107
Wangezilipa wakiwa korokoroni!!ccm chama changu inapenda kulinda wezi sijui kwanini!!?

Sad
 
Mkuu hujui hapo kunandugu wa viongozi, nani wa kumuwajibisha sasa inabaki kelele tu
Huu undugu na urafiki kwenye kazi ndio umetufikisha hapa. leo hii hata walipatikana na madudu kwenye report ya CAG bado wako pale pale ? Hawachukuliwi hatua all in the name of urafiki na undugu wa viongoz
 
Back
Top Bottom