Hakuna mtu mwenye akili akamfuatilia huyu aache kujidanganyaMkuu wa mkoa wa Dares salaam Paul Makonda amewatupia dongo wale wote wanaoshinda mtandaoni wakifuatilia kauli na maisha yake kwa ujumla..
Badala ya kulialia hovyo waende kufanya kazi.View attachment 1113747
Kiswahili cha NECTA ni tofauti sana na kiswahili tunachohitaji katika mawasiliano ya kila siku.Huyo Kama kiswahili chenyewe alipiga Fa simshangai
Maana yake hata maswali ya vitendawili yalimshinda
Nimeungana naoWauza unga bado wanahasira na makonda
Muwe mnaweka na majibu ya wananchiMkuu wa mkoa wa Dares salaam Paul Makonda amewatupia dongo wale wote wanaoshinda mtandaoni wakifuatilia kauli na maisha yake kwa ujumla..
Badala ya kulialia hovyo waende kufanya kazi.View attachment 1113747
Wakati ni marafiki zake.Wauza unga bado wanahasira na makonda