Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,604
- 5,583
Hatari sana mkuu. Watu waliochoka kifikra kudhani hawako watu nje ya wao wenye kufikiri yenye tija kwa nchi...CCM inaweza kuwa imechoka lakini hao wenye kufikiriwa kuibadilisha wameshachoka hata kabla hawajapewa nafasi ya kuongoza Tanzania. Hao ambao ni mbadala wameshaonyesha udhaifu hata kabla hawajakabidhiwa ikulu.
Kwa mfumo huu hakuna tutakapokwenda... (POSHO, UPENDELEO, MIPANGO YA OVYO, SIASA MBAYA, MISIFA NK... Tunaweza kuona jinsi timu ya taifa ya watanzania ilifaulu kutinga AFCON! Na jinsi timu ya CCM ilituaibisha AFCON...Umri wake wa kwenye passport ni chini ya miaka 35 umri wake halisi anaweza kuwa ni miaka kati ya 38-40.
Kuwa mwangalifu dogoAmekuingilia wewe sisi hatuwezi kuingiliwa na anayeingiliwa.
Tatizo letu watanzania ni ukosefu wa uvumilivu. Tungepata mafanikio mazuri kila mtu angejifanya kuipenda Taifa Stars. Cha muhimu ni kuwekeza kwenye soka la vijana kwa maana halisi.Kwa mfumo huu hakuna tutakapokwenda... (POSHO, UPENDELEO, MIPANGO YA OVYO, SIASA MBAYA, MISIFA NK... Tunaweza kuona jinsi timu ya taifa ya watanzania ilifaulu kutinga AFCON! Na jinsi timu ya CCM ilituaibisha AFCON...
Tatizo letu watanzania ni ukosefu wa uvumilivu. Tungepata mafanikio mazuri kila mtu angejifanya kuipenda Taifa Stars. Cha muhimu ni kuwekeza kwenye soka la vijana kwa maana halisi.
Nilipata kumuuliza mtu mmoja "...hivi Makongo iliyokuwa ikizalisha vipaji iliishia wapi? Hivi kile kituo cha JK pale kidongo chekundu watoto wale hupotelea wapi?"Tatizo letu watanzania ni ukosefu wa uvumilivu. Tungepata mafanikio mazuri kila mtu angejifanya kuipenda Taifa Stars. Cha muhimu ni kuwekeza kwenye soka la vijana kwa maana halisi.
Waliompa uenyekiti ndio waliomtuma atoe matamko yale vinginevyo tungewasikia wakikemea kauli ile...Watanzania ndio waliomtuma Makonda akaseme Taifa stars inatekeleza ilani ya CCM?
Hii timu ni yake maana iko kwenye mkoa wake! CCM oyeeee.Huku akijua kabisa kuwa Yeye si Mtaalam wa Soka,...……………………………………………….!
“ Hakuna cha Yondan na Nyoni Kustaafu sasa Kuchezea Taifa Stars na bado mpo sana tu halafu ole Wenu nije Kusikia hamtaki Kuchezea Taifa Stars au Mnastaafu sasa. Na kama ni kuitwa Kikosini Taifa Stars mtaitwa sana tu na Kocha ila habari ya nyie Kustaafu sitaki Kuisikia kutoka Kwenu sawa? “ alisema Makonda.
Hivi wale Vijana walifika fainali gabonTatizo letu watanzania ni ukosefu wa uvumilivu. Tungepata mafanikio mazuri kila mtu angejifanya kuipenda Taifa Stars. Cha muhimu ni kuwekeza kwenye soka la vijana kwa maana halisi.
mrangi ulivyoandika utadhani wewe ni Mkenya au Mnigeria. Masuala yetu sisi wabongo huwa hayana muendelezo.Hivi wale Vijana walifika fainali gabon
Baada ya pale mliwaendeleza/mliendeleaa
Ile ndy ilitakiwa kuwa taifa stars
nao....Nyie shida yenu ni usimba na uyanga
Ova