Tetesi: Makonda azima muziki element; amkasirisha Omarion

Tetesi: Makonda azima muziki element; amkasirisha Omarion

Huyu jamaa fala sana. Ina maana watu waliokua Element wakaona walikua wanaona mazingaumbwe?

- Mange aliona kilichotokea Elements? Au uliona wewe? Kama uliona kweli matusi ya nini kwa nini usisimamie ukweli uliouona unakimbilia matusi? hahahahahaha foolish kabisa

le Mutuz
 
Wewe ni kijana au mzee? Mbona hujapewa cheo chochote hadi sasa kama nawe sio mpiga majungu?

- Sijahitaji cheo nikitaka naweza kukipata ila sina huo mpango, ila mnatia huruma sana na majungu majungu hivi yatawasaidia nini hasa kwa mfano?

- Omarion aligombana na RC hakuna aliterekodi kwa simu na umati wote ule uliokuwepo?

le Mutuz
 
- Sijahitaji cheo nikitaka naweza kukipata ila sina huo mpango, ila mnatia huruma sana na majungu majungu hivi yatawasaidia nini hasa kwa mfano?

- Omarion aligombana na RC hakuna aliterekodi kwa simu na umati wote ule uliokuwepo?

le Mutuz
Acha mambo yako we Mzee, huitaji cheo Wewe?
 
Back
Top Bottom