Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
-
- #101
Unaishi wapi wewe? Hujaona Lissu ameingia kwenye ofisi za watu kwa kuvamia wakati aliambiwa kipindi chake cha mahojiano kimefutwa.Kama wewe sio mnafiki, weka ushahidi wa Lissu au mwingine KULAZIMISHA MAHOJIANO.
USHAHIDI..
USHAHIDI HAPA..
Sijaona hilo. Weka hapa..Unaishi wapi wewe? Hujaona Lissu ameingia kwenye ofisi za watu kwa kuvamia wakati aliambiwa kipindi chake cha mahojiano kimefutwa.
Baada ya kualikwa si alipewa taarifa siku moja kabla kuwa asiende kwa kuwa kipindi kimeahirishwa na kwamba ataitwa wakati mwingine? Sasa yeye alikuwa analazimasha kwenda kufanya nini tena? Kwani ni mali ya umma ile? Ni mali ya CHADEMA ile? Kinatumia kodi za watanzania? Ya nini kuonyesha kukosa busara na kutia aibu chama kizima?Alialikwa kijana mbona unakuwa slow learner au ndio mahaba kwa chama chako huoni husikii.??
Amekufa Thadei Ole Mushi mliobaki kwenye chama Chenu kuandika nguvu za hoja hakuna mmebaki kusifiana hata kwa ujinga.
Kwani Lissu hakuambiwa kipindi kimeahirishwa na itapangwa wakati mwingine? Sasa alikuwa anang'ang'ania nini tena kwenda huko studio kuvuruga shughuli za watu? Kwani ni lazima yeye kuhojiwa? Kuna kifungu gani cha katiba kama asipohojiwa au hata kama asiingeitwa? Kile ni chombo binafsi na wala siyo mali ya CHADEMA wala wachadema haina hisa lake wala kodi za wananchi hazitumiki kuendesha kituo kile ,bali chenyewe ndio kina lipa kodi serikalini.
Labda kakutia aibu wewe chama hakijapata aibu(japokuwa sio msemaji wa chama)Baada ya kualikwa si alipewa taarifa siku moja kabla kuwa asiende kwa kuwa kipindi kimeahirishwa na kwamba ataitwa wakati mwingine? Sasa yeye alikuwa analazimasha kwenda kufanya nini tena? Kwani ni mali ya umma ile? Ni mali ya CHADEMA ile? Kinatumia kodi za watanzania? Ya nini kuonyesha kukosa busara na kutia aibu chama kizima?
Acheni kulia lia hapa ,anzisheni tv yenu na siyo kupiga makelele utafikiri ni lazima kwa yeye kufanyiwa mahojiano.sasa wewe mtu amekwambia kiwa kipindi kimeahirishwa halafu wewe unaanza kwenda kuharibu utaratibu wa watu eti unataka kuhojiwa.Labda kakutia aibu wewe chama hakijapata aibu(japokuwa sio msemaji wa chama)
Wasafi waache kutumika kama ndomu unamwalika mtu halafu una cancel appointment bila sababu za msingi.
Si utoto huo??
Ndugu zangu Watanzania,
Mheshimiwa Paul Makonda Mwamba na Jabali la siasa na kijana jasiri kusini mwa jangwa la sahara hapo jana aliitetemesha Mbeya kwelikweli,alilisimamisha jiji na kuteka mioyo ya wananchi , shughuli zote zilisimama na kubaki na shughuli moja tu ya kutega masikio kwa Mwamba Mwenyewe Makonda.
Akiwa katika viwanja vya Rwanda nzovwe maarufu kama viwanja vya CCM aliwalipua Wana Mbeya kwa vicheko visivyokatika pale alipowaambia kuwa CHADEMA wameacha na kukimbia kabisa kufanya mikutano ya hadhara na sasa wameanza kulilia vyombo vya habari ili wafanyiwe mahojiano.akasema walitaka mikutano ya hadhara Mheshimiwa Rais akawaruhusu lakini Mwamba mwenyewe Makonda alipoingia mitaani CHADEMA wote wakatimua mbio kali sana kwenda kujificha, ambapo hadi sasa hawaonekani mitaani na sasa wanaanza kuvamia ofisi za watu wakililia kutaka kufanya mahojiano.
Ndugu zangu hata mimi niliona CHADEMA na Lissu wake ni kama watu ambao hawapo sawa kichwani na ni watu wasio jitambua kabisa.hivi unaanzia wapi kulazimisha kuhojiwa kwenye chombo binafsi? Kama mhusika kakupigia simu ukiwa kwako kwamba usije kwenye mahojiano mpaka wakati mwingine,sasa kwanini ulazimishe kwenda kuvamia ofisi za watu na kusimamisha shughuli za watu eti unataka uelezwe sababu za kufutwa kwa mahojiano yako? Kwani uliopitwa mara ya kwanza uliambiwa kwa nini unataka kufanyiwa mahojiano? Kwani ni lazima wewe kuhojiwa?
Je kile chombo cha habari ni mali ya CHADEMA? Kama siyo mali ya CHADEMA unataka kulazimisha ili iweje? Kwanini msifungue Tv yenu ndio muwe mnakwenda wakati wote kuhojiwa au muwe mnajirusha hata mnapokura chakula na familia zenu? Miaka yote mmepokea mamilioni kwa mamilioni ya pesa za Ruzuku kwanini mmeshindwa kuanzisha Tv au redio yenu? Hapa majuzi tu si mmetoka kutafuna zaidi ya Billion tatu kasoro kidogo tu pesa za Ruzuku? Je fedha hizo zilikuwa hazitoshi kuanzisha Tv mnazolilia Lilia kama watoto walio kliniki kutaka kuhojiwa?
Hivi Lissu na CHADEMA yake watakuwa lini na kukomaa kiakili? Halafu wafuasi wao walivyo mazuzu eti wanahangaika mitandaoni kulalamika kwanini Lissu hajahojiwa? Sasa kuhojiwa ni lazima? Je hakupewa taarifa kuwa kipindi kimefutwa? Hii yote ni kuonyesha CHADEMA hasa viongozi wake hawana kazi za aina yoyote ile wanazofanya za kuwapatia kipato zaidi ya kutegemea kupiga porojo ,Makele na uzushi midomoni pao,kwa sababu mtu mwenye kazi zake tulitegemea alipopewa taarifa tena kabla ya siku husika kufika basi angeendelea na kazi zake na shughuli zake kama kawaida na kufurahi kuwa kazi zake hazitasimama kwa siku hiyo.
Sasa kwa kuwa CHADEMA ni madalali wa kisiasa na wamefanya siasa kama sehemu ya kuneemesha matumbo yao na kuponya njaa zao ndio maana mtu anachukua gari na kufunga safari kwenda kuvamia ofisi za watu na kuanza kulilia eti anataka aambiwe sababu za kufutwa mahojiano .hivi huu siyo ujinga kweli? Siyo uwendawazimu huu? Siyo ugonjwa huu kweli? Siyo kujikatia tamaa huku kweli? Siyo kukosa kazi huku? Siyo kwamba hawa jamaa wamechanganyikiwa?
Mimi naona kuna namna mambo hayapo sawa katika vichwa vya CHADEMA,Lissu ameathirika kisaikolojia na anahitaji ushauri kumsaidia kupona .maana hili siyo jambo la kawaida hata kidogo.yaani chombo cha habari siyo chako,siyo mali yao,huna hisa wala wewe siyo mwana hisa,huchangia chochote katika chombo hicho,huwasaidia kulipa hata bili ya maji tu halafu unatoka huko mbio mbio eti nataka nielezwe kwanini hamtaki kunipa nafasi ya kufanya mahojiano na ninyi? Sasa ni lazima kufanya hivyo? Vipi kama wangeamua wakae kimya tu kama mabubu na kuweka headphone ili wasikilizage hata nyimbo za injili? Je angebaki anaongea pekee yake kama kichaa au mwendawazimu? Vipi kama maiki yake wangeiondoa sauti? Angesikika kwa nani zaidi ya kuonekana kama picha tu?
Kwanini CHADEMA wanakuwa na utoto kiasi hiki? Kwanini hawakui kiakili ? Kwanini hawakomai kifikira? Kwanini wanafanya mambo kama watoto wadogo? Kwanini wasifungue Tv zao? Ruzuku na michango kibao inakwenda wapi? Kama wanapenda sana sura zao kuonekana kwenye Tv kwanini wasifungue zaooooo? Ndio maana watanzania wanaendelea kuwapuuza sanaa CHADEMA. ila ukweli ni kuwa nje ya siasa viongozi wa CHADEMA hawana kazi zozote zile za kiuchumi wanazozifanya huku mitaani,hakuna kitu wanachozalisha kuchangia katika uchumi wetu wala kutoa hata ajira kwa vijana kumi tu.ndio maana kwa kukosa kwao kazi wanaanza kufunga safari kwenda kung'ang'ania kwenye ofisi za watu.
CHADEMA acheni kupenda vya dezo na mteremko ,kama mnapenda sana kuonekana katika Tv basi fungueni zenu na siyo kutafuna pesa zote halafu muanze kuleta usumbufu kwa watu waliofanya uwekezaji kwenye Tv na radio zao.acheni kuharibu biashara za watu,acheni kuvuruga shughuli za watu,acheni vurugu na utoto wenu.fanyeni vitu kama watu wazima na siyo kama watoto wadogo waliozibuka akili.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627.
View attachment 2897538View attachment 2897539View attachment 2897540View attachment 2897541View attachment 2897543View attachment 2897544
Hoja hujibiwa kwa hoja.Trash all rubbish for ur safety
Waliomaliza ndio waliompigia simu ya kuahirishwa kwa kipindi kwa siku husika. Kwa hiyo hakukuwa na sababu tena ya kuanza kwenda kuharibu ratiba za watu ofisini kwao ,wakati tayari umeshapewa taarifa kuwa hauna kipindi.Mbona ujauliza Nani alipiga simu kuzuia?
Huyo aliempa taarifa lisu ndio alimwambia sababu ya kucancel ni simu kutoka juu
Na ndio hayo mambo mpaka huko chini watu wanadhulumiwa na badae mnajifanya kuwasaidia ni hizo simu kutoka juu
Mnatengeneza tatizo then mnalitatua na kudanganya watu nyie ni mashujaaa
Sio kila kitu cha kuwa upande mmoja vingine uwe unapima
Waliomaliza ndio waliompigia simu ya kuahirishwa kwa kipindi kwa siku husika. Kwa hiyo hakukuwa na sababu tena ya kuanza kwenda kuharibu ratiba za watu ofisini kwao ,wakati tayari umeshapewa taarifa kuwa hauna kipindi.
Lete maneno ccm mbele kwa mbeleNdugu zangu Watanzania,
Mheshimiwa Paul Makonda Mwamba na Jabali la siasa na kijana jasiri kusini mwa jangwa la sahara hapo jana aliitetemesha Mbeya kwelikweli,alilisimamisha jiji na kuteka mioyo ya wananchi , shughuli zote zilisimama na kubaki na shughuli moja tu ya kutega masikio kwa Mwamba Mwenyewe Makonda.
Akiwa katika viwanja vya Rwanda nzovwe maarufu kama viwanja vya CCM aliwalipua Wana Mbeya kwa vicheko visivyokatika pale alipowaambia kuwa CHADEMA wameacha na kukimbia kabisa kufanya mikutano ya hadhara na sasa wameanza kulilia vyombo vya habari ili wafanyiwe mahojiano.akasema walitaka mikutano ya hadhara Mheshimiwa Rais akawaruhusu lakini Mwamba mwenyewe Makonda alipoingia mitaani CHADEMA wote wakatimua mbio kali sana kwenda kujificha, ambapo hadi sasa hawaonekani mitaani na sasa wanaanza kuvamia ofisi za watu wakililia kutaka kufanya mahojiano.
Ndugu zangu hata mimi niliona CHADEMA na Lissu wake ni kama watu ambao hawapo sawa kichwani na ni watu wasio jitambua kabisa.hivi unaanzia wapi kulazimisha kuhojiwa kwenye chombo binafsi? Kama mhusika kakupigia simu ukiwa kwako kwamba usije kwenye mahojiano mpaka wakati mwingine,sasa kwanini ulazimishe kwenda kuvamia ofisi za watu na kusimamisha shughuli za watu eti unataka uelezwe sababu za kufutwa kwa mahojiano yako? Kwani uliopitwa mara ya kwanza uliambiwa kwa nini unataka kufanyiwa mahojiano? Kwani ni lazima wewe kuhojiwa?
Je kile chombo cha habari ni mali ya CHADEMA? Kama siyo mali ya CHADEMA unataka kulazimisha ili iweje? Kwanini msifungue Tv yenu ndio muwe mnakwenda wakati wote kuhojiwa au muwe mnajirusha hata mnapokura chakula na familia zenu? Miaka yote mmepokea mamilioni kwa mamilioni ya pesa za Ruzuku kwanini mmeshindwa kuanzisha Tv au redio yenu? Hapa majuzi tu si mmetoka kutafuna zaidi ya Billion tatu kasoro kidogo tu pesa za Ruzuku? Je fedha hizo zilikuwa hazitoshi kuanzisha Tv mnazolilia Lilia kama watoto walio kliniki kutaka kuhojiwa?
Hivi Lissu na CHADEMA yake watakuwa lini na kukomaa kiakili? Halafu wafuasi wao walivyo mazuzu eti wanahangaika mitandaoni kulalamika kwanini Lissu hajahojiwa? Sasa kuhojiwa ni lazima? Je hakupewa taarifa kuwa kipindi kimefutwa? Hii yote ni kuonyesha CHADEMA hasa viongozi wake hawana kazi za aina yoyote ile wanazofanya za kuwapatia kipato zaidi ya kutegemea kupiga porojo ,Makele na uzushi midomoni pao,kwa sababu mtu mwenye kazi zake tulitegemea alipopewa taarifa tena kabla ya siku husika kufika basi angeendelea na kazi zake na shughuli zake kama kawaida na kufurahi kuwa kazi zake hazitasimama kwa siku hiyo.
Sasa kwa kuwa CHADEMA ni madalali wa kisiasa na wamefanya siasa kama sehemu ya kuneemesha matumbo yao na kuponya njaa zao ndio maana mtu anachukua gari na kufunga safari kwenda kuvamia ofisi za watu na kuanza kulilia eti anataka aambiwe sababu za kufutwa mahojiano .hivi huu siyo ujinga kweli? Siyo uwendawazimu huu? Siyo ugonjwa huu kweli? Siyo kujikatia tamaa huku kweli? Siyo kukosa kazi huku? Siyo kwamba hawa jamaa wamechanganyikiwa?
Mimi naona kuna namna mambo hayapo sawa katika vichwa vya CHADEMA,Lissu ameathirika kisaikolojia na anahitaji ushauri kumsaidia kupona .maana hili siyo jambo la kawaida hata kidogo.yaani chombo cha habari siyo chako,siyo mali yao,huna hisa wala wewe siyo mwana hisa,huchangia chochote katika chombo hicho,huwasaidia kulipa hata bili ya maji tu halafu unatoka huko mbio mbio eti nataka nielezwe kwanini hamtaki kunipa nafasi ya kufanya mahojiano na ninyi? Sasa ni lazima kufanya hivyo? Vipi kama wangeamua wakae kimya tu kama mabubu na kuweka headphone ili wasikilizage hata nyimbo za injili? Je angebaki anaongea pekee yake kama kichaa au mwendawazimu? Vipi kama maiki yake wangeiondoa sauti? Angesikika kwa nani zaidi ya kuonekana kama picha tu?
Kwanini CHADEMA wanakuwa na utoto kiasi hiki? Kwanini hawakui kiakili ? Kwanini hawakomai kifikira? Kwanini wanafanya mambo kama watoto wadogo? Kwanini wasifungue Tv zao? Ruzuku na michango kibao inakwenda wapi? Kama wanapenda sana sura zao kuonekana kwenye Tv kwanini wasifungue zaooooo? Ndio maana watanzania wanaendelea kuwapuuza sanaa CHADEMA. ila ukweli ni kuwa nje ya siasa viongozi wa CHADEMA hawana kazi zozote zile za kiuchumi wanazozifanya huku mitaani,hakuna kitu wanachozalisha kuchangia katika uchumi wetu wala kutoa hata ajira kwa vijana kumi tu.ndio maana kwa kukosa kwao kazi wanaanza kufunga safari kwenda kung'ang'ania kwenye ofisi za watu.
CHADEMA acheni kupenda vya dezo na mteremko ,kama mnapenda sana kuonekana katika Tv basi fungueni zenu na siyo kutafuna pesa zote halafu muanze kuleta usumbufu kwa watu waliofanya uwekezaji kwenye Tv na radio zao.acheni kuharibu biashara za watu,acheni kuvuruga shughuli za watu,acheni vurugu na utoto wenu.fanyeni vitu kama watu wazima na siyo kama watoto wadogo waliozibuka akili.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627.
View attachment 2897538View attachment 2897539View attachment 2897540View attachment 2897541View attachment 2897543View attachment 2897544
Achana naye wewe unahisii mleta mada ana akili timamu huyo!!!!!,,Mtu mwenye akili timamu kabisaa hawezii kuwaza anachowaza mleta mada na ndio vijana wengii wa Tz wako hivyo sijuii sisi watanzania alituroga nani hadii kuwa na watu wapumbavu wanaojalii matumbo Yao tu na Sio kujalii wenzao yaanii wapo tayarii kupokea pesa Kwa ajili ya kuwamaliza wenzao inasikitisha saana!!!Unadhan ingekuwa simple like that then serikali ingejibu?
Serikali imejibu because wamejua mtu ambae alipiga simu kuzuia interview
Na wamemwambia kafanya makosa Sana
Then wewe unakuja kuleta utopolo wako
Yan ww ukisikia chadema unaona kama sio binadamu vile
Acheni hasira na makasiriko CHADEMA.kama mnapenda sana kwenda kwenye Tv basi fungueni yenu. Mbona Ruzuku mnapewa? Kwanini mnatafuna yote bila akiba.Achana naye wewe unahisii mleta mada ana akili timamu huyo!!!!!,,Mtu mwenye akili timamu kabisaa hawezii kuwaza anachowaza mleta mada na ndio vijana wengii wa Tz wako hivyo sijuii sisi watanzania alituroga nani hadii kuwa na watu wapumbavu wanaojalii matumbo Yao tu na Sio kujalii wenzao yaanii wapo tayarii kupokea pesa Kwa ajili ya kuwamaliza wenzao inasikitisha saana!!!
Hakulamishwa kuhojiwa alitaka kumjua nani huyo aliyezuia kipindi?Acheni kulia lia hapa ,anzisheni tv yenu na siyo kupiga makelele utafikiri ni lazima kwa yeye kufanyiwa mahojiano.sasa wewe mtu amekwambia kiwa kipindi kimeahirishwa halafu wewe unaanza kwenda kuharibu utaratibu wa watu eti unataka kuhojiwa.
Acheni hasira na makasiriko CHADEMA.kama mnapenda sana kwenda kwenye Tv basi fungueni yenu. Mbona Ruzuku mnapewa? Kwanini mnatafuna yote bila akiba.
Huwa unaleta habari za Makonda lakini sasa upo kimya.Ndugu zangu Watanzania,
Mheshimiwa Paul Makonda Mwamba na Jabali la siasa na kijana jasiri kusini mwa jangwa la sahara hapo jana aliitetemesha Mbeya kwelikweli,alilisimamisha jiji na kuteka mioyo ya wananchi , shughuli zote zilisimama na kubaki na shughuli moja tu ya kutega masikio kwa Mwamba Mwenyewe Makonda.
Akiwa katika viwanja vya Rwanda nzovwe maarufu kama viwanja vya CCM aliwalipua Wana Mbeya kwa vicheko visivyokatika pale alipowaambia kuwa CHADEMA wameacha na kukimbia kabisa kufanya mikutano ya hadhara na sasa wameanza kulilia vyombo vya habari ili wafanyiwe mahojiano.akasema walitaka mikutano ya hadhara Mheshimiwa Rais akawaruhusu lakini Mwamba mwenyewe Makonda alipoingia mitaani CHADEMA wote wakatimua mbio kali sana kwenda kujificha, ambapo hadi sasa hawaonekani mitaani na sasa wanaanza kuvamia ofisi za watu wakililia kutaka kufanya mahojiano.
Ndugu zangu hata mimi niliona CHADEMA na Lissu wake ni kama watu ambao hawapo sawa kichwani na ni watu wasio jitambua kabisa.hivi unaanzia wapi kulazimisha kuhojiwa kwenye chombo binafsi? Kama mhusika kakupigia simu ukiwa kwako kwamba usije kwenye mahojiano mpaka wakati mwingine,sasa kwanini ulazimishe kwenda kuvamia ofisi za watu na kusimamisha shughuli za watu eti unataka uelezwe sababu za kufutwa kwa mahojiano yako? Kwani uliopitwa mara ya kwanza uliambiwa kwa nini unataka kufanyiwa mahojiano? Kwani ni lazima wewe kuhojiwa?
Je kile chombo cha habari ni mali ya CHADEMA? Kama siyo mali ya CHADEMA unataka kulazimisha ili iweje? Kwanini msifungue Tv yenu ndio muwe mnakwenda wakati wote kuhojiwa au muwe mnajirusha hata mnapokura chakula na familia zenu? Miaka yote mmepokea mamilioni kwa mamilioni ya pesa za Ruzuku kwanini mmeshindwa kuanzisha Tv au redio yenu? Hapa majuzi tu si mmetoka kutafuna zaidi ya Billion tatu kasoro kidogo tu pesa za Ruzuku? Je fedha hizo zilikuwa hazitoshi kuanzisha Tv mnazolilia Lilia kama watoto walio kliniki kutaka kuhojiwa?
Hivi Lissu na CHADEMA yake watakuwa lini na kukomaa kiakili? Halafu wafuasi wao walivyo mazuzu eti wanahangaika mitandaoni kulalamika kwanini Lissu hajahojiwa? Sasa kuhojiwa ni lazima? Je hakupewa taarifa kuwa kipindi kimefutwa? Hii yote ni kuonyesha CHADEMA hasa viongozi wake hawana kazi za aina yoyote ile wanazofanya za kuwapatia kipato zaidi ya kutegemea kupiga porojo ,Makele na uzushi midomoni pao,kwa sababu mtu mwenye kazi zake tulitegemea alipopewa taarifa tena kabla ya siku husika kufika basi angeendelea na kazi zake na shughuli zake kama kawaida na kufurahi kuwa kazi zake hazitasimama kwa siku hiyo.
Sasa kwa kuwa CHADEMA ni madalali wa kisiasa na wamefanya siasa kama sehemu ya kuneemesha matumbo yao na kuponya njaa zao ndio maana mtu anachukua gari na kufunga safari kwenda kuvamia ofisi za watu na kuanza kulilia eti anataka aambiwe sababu za kufutwa mahojiano .hivi huu siyo ujinga kweli? Siyo uwendawazimu huu? Siyo ugonjwa huu kweli? Siyo kujikatia tamaa huku kweli? Siyo kukosa kazi huku? Siyo kwamba hawa jamaa wamechanganyikiwa?
Mimi naona kuna namna mambo hayapo sawa katika vichwa vya CHADEMA,Lissu ameathirika kisaikolojia na anahitaji ushauri kumsaidia kupona .maana hili siyo jambo la kawaida hata kidogo.yaani chombo cha habari siyo chako,siyo mali yao,huna hisa wala wewe siyo mwana hisa,huchangia chochote katika chombo hicho,huwasaidia kulipa hata bili ya maji tu halafu unatoka huko mbio mbio eti nataka nielezwe kwanini hamtaki kunipa nafasi ya kufanya mahojiano na ninyi? Sasa ni lazima kufanya hivyo? Vipi kama wangeamua wakae kimya tu kama mabubu na kuweka headphone ili wasikilizage hata nyimbo za injili? Je angebaki anaongea pekee yake kama kichaa au mwendawazimu? Vipi kama maiki yake wangeiondoa sauti? Angesikika kwa nani zaidi ya kuonekana kama picha tu?
Kwanini CHADEMA wanakuwa na utoto kiasi hiki? Kwanini hawakui kiakili ? Kwanini hawakomai kifikira? Kwanini wanafanya mambo kama watoto wadogo? Kwanini wasifungue Tv zao? Ruzuku na michango kibao inakwenda wapi? Kama wanapenda sana sura zao kuonekana kwenye Tv kwanini wasifungue zaooooo? Ndio maana watanzania wanaendelea kuwapuuza sanaa CHADEMA. ila ukweli ni kuwa nje ya siasa viongozi wa CHADEMA hawana kazi zozote zile za kiuchumi wanazozifanya huku mitaani,hakuna kitu wanachozalisha kuchangia katika uchumi wetu wala kutoa hata ajira kwa vijana kumi tu.ndio maana kwa kukosa kwao kazi wanaanza kufunga safari kwenda kung'ang'ania kwenye ofisi za watu.
CHADEMA acheni kupenda vya dezo na mteremko ,kama mnapenda sana kuonekana katika Tv basi fungueni zenu na siyo kutafuna pesa zote halafu muanze kuleta usumbufu kwa watu waliofanya uwekezaji kwenye Tv na radio zao.acheni kuharibu biashara za watu,acheni kuvuruga shughuli za watu,acheni vurugu na utoto wenu.fanyeni vitu kama watu wazima na siyo kama watoto wadogo waliozibuka akili.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627.
View attachment 2897538View attachment 2897539View attachment 2897540View attachment 2897541View attachment 2897543View attachment 2897544
Jifunze kukaa kimya na siyo kila wakati unataka kuzungumza tu. Mwenye hekima huzungumza wakati ukifika na anapokuwa na jambo la kuzungumza na siyo kila anapopewa nafasi ya kuongeaHuwa unaleta habari za Makonda lakini sasa upo kimya.
Siyo unafiki ni kitu gani? Maana hapo unathibitisha kauli ya kuwa wewe ni chawa.
Maana chawa wanaruka tu bila kujuwa hali halısı ya boss?
Mkuu with all due respect, siku nyingine nani huwa anakupa nafasi ya kuongea? Maana naona upo kimya tu hadi serikali ndo waseme yuko likizo?Jifunze kukaa kimya na siyo kila wakati unataka kuzungumza tu. Mwenye hekima huzungumza wakati ukifika na anapokuwa na jambo la kuzungumza na siyo kila anapopewa nafasi ya kuongea
Dubai?Bado yupo Dubei au kesharudi?