Makonda is a good leader, sema kupenda sifa na kujipandisha ndio kunamwangusha sana

Sipendekezi arudi kwenye ramani hiyo kwani naamini ameshiriki au kushirikishwa moja ya migogoro mibaya zaidi ya ardhi iliyowaumiza watu wengi na uharibifu wa mali zao eneo ambalo Ana maslahi nalo,iwe ni moja kwa moja,au kwa kushirikishwa kwa manufaa yake,ama wakati akiwa mkuu wa wilaya kinondoni,au akiwa mkuu wa mkoa dsm,hata kushindwa kujitokeza kwenye mgogoro ule au hata tu kusema neno.
 
Unampenda sana, kanywe naye chai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…