Chid mapenzi na chid benzChid Benzi na Chid Mapenzi ni watu wawili tofauti!!!!
ha ha ha chid mapenzi.ni.jamaa tu.ana duka lake la nguo waweza mcheki insta chiddimapenziChid mapenzi na chid benz
Ni kama harmonize na harmo rapper?
Haaaaha ha ha chid mapenzi.ni.jamaa tu.ana duka lake la nguo waweza mcheki insta chiddimapenzi
hyo sio kazi yakeMh Makonda chunguza mabwana wa wanawake maarufu maana hii midada inapenda pesa sana
tafadhali.au tafadhari.me sijui lakiniLeo Makonda alimtaja mtu mmoja na kusema amkute polisi leo hii.
Hope atakuwa ni PAPA sana. Jina ametaja "Chidd Mapenzi".
Huyu ni nani? Wanaomjua watusaidie file lake tafadhali.
Anaishi wapi? N.k.
anauzia masista duu wa bongo.movie na wauza sura wa mjini hivo ana jina jina pia ni mme wa shamsa ford (bongo movie)Haaaa
Jamaa katisha, kwa hiyo naye ni drug lord.
Mi tatizo siko IG
So jamaa kwa kuuza tu nguk kawa na jina, katisha huyo!!
Sasa alieolewa na huyu jamaa tena juz tuLeo Makonda alimtaja mtu mmoja na kusema amkute polisi leo hii.
Hope atakuwa ni PAPA sana. Jina ametaja "Chidd Mapenzi".
Huyu ni nani? Wanaomjua watusaidie file lake tafadhali.
Anaishi wapi? N.k.
Anhaaaanauzia masista duu wa bongo.movie na wauza sura wa mjini hivo ana jina jina pia ni mme wa shamsa ford (bongo movie)
kila siku safari za china kumbe ana mizigo mingi ya kufata teh
Shubir ndo anaiona sasa
Thubutu! Kuwa drug lord mchezo...!! Drugs lord hatumii duka la nguo kutakatisha pesa bali atatumia biashara zenye akili; ma-real estate n.k!Haaaa
Jamaa katisha, kwa hiyo naye ni drug lord.
Mi tatizo siko IG
So jamaa kwa kuuza tu nguk kawa na jina, katisha huyo!!
HahahahaThubutu! Kuwa drug lord mchezo...!! Drugs lord hatumii duka la nguo kutakatisha pesa bali atatumia biashara zenye akili; ma-real estate n.k!
Chidi yule ni Punda tu na kama ameshaanza kubeba mzigo binafsi, basi ingekuwa ndo zile biashara halali, labda tungesema ana duka kubwa Kariakoo wakati tunapowaongelea akina Mo Dewji!!!
Umeshamaliza kwenye sentensi ya kati!!!Hahahaha
Kwa hiyo ndio maana makonda kawa huru kumtaja!!
Bas kweli ni ka donkey tuu hako
Hilo nalo nenoMh Makonda chunguza mabwana wa wanawake maarufu maana hii midada inapenda pesa sana
Chid Benzi na Chid Mapenzi ni watu wawili tofauti!!!!
Huyu Jamaa si ndie anamiliki duka la nguo pale Mwananyamala karibia na Masai club?Ni huyu hapa,mume wa shamsa ford