Makonda: Kuanzia leo ukifanya biashara Arusha utafanikiwa. Ukifunga ndoa haitatenganishwa na yeyote!

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Wakati mataifa mengine yakijikita katika tafiti mbalimbali na kuwekeza katika miradi ya kimaendeleo, Makonda siku ya leo amekusanya maelfu ya wananchi na kuanza kukemea roho chafu "zinazokwamisha" maendeleo


"Ndio mkoa pekee ukienda kusoma unafaulu, yale mapepo mgandamizo, mateso wanayoyapata watoto wetu tunayakataa, ijulikane leo ya kwamba Arusha yote ukifanya biashara unafanikiwa. Ijulikane leo ya kwamba Arusha ukifunga ndoa ya kiislamu au ya kikristo hiyo ndoa haitatenganishwa na mtu yeyote zaidi ya Mungu"

"Ijulikane leo mkoa wetu (Arusha) hautapokea tena watoto wasiokuwa na baba, kila mwenye baba atatambulika kwa baba yake... Mila zinazokatandamiza wanawake na kuwanyima haki ya kumiliki ardhi tunazifuta kwa kuwa kila mwanamke ni mfano wa Mungu."


Source: Jambo TV
 
Nàona Arusha imepata kiongozi wà kiroho sasa, mtume bulldozer Makonda.
 
Na ww acha ushabiki wa kipumbavu, Makonda kipi alichokosea hapo ?
 
Huyu anafaa zaidi kuwa nabii mamboleo kuliko kushikilia ofisi ya umma
 
MAKONDA BOMAYEEEEEEE
 
KARMA AT WORK 😳🙌
 
Aje atuombee na huu mkoa wetu huku maana mambo si shwari...
 
Nyamitako dishi limesha yumba. Anadai kufukuza mapepo wakati yeye mwenyewe ni pepo,
 
Makonda ameanza Kuvaa nguo za Kijeshi...
Fascism
 
Nyumba za ibada zimegeuzwa jukwaa la wahuni na vibaka kufanya maigizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…