fasiliteta
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 2,372
- 4,090
Hawa clouds ni wazi bwana makonda ana kila haki ya kutowaomba msamaha na kubaki na msimamo wao
Clouds ni chombo cha habar cha kuchunga sana,ni kama kakundi Fulani kakujenga fitna na kuongeza chumvi mambo mengi sanaaaa
Clouds wakitofautiana na mtu wapo tayari kutumia mamlaka yao ya kua na Media ktk kummaliza huyo MTU na kumchafua ndani ya jamiiii
Wapo vizur sana katika fitna na majungu,kiasi hata baadhi ya wananchi eti wanaogopa kua utapotea ukijaribu kwenda nao against
Clouds ni wanyonyaji,viburi,jeuri ma wafitinishaji wazur wa watu waliogombana nao na jamiii
Clouds wanawatumia vibaya nafasi hii ya media
Serikali iwaangalie sana HAWA Jamaa,wamekua mwiba sasa kwa watu wengi na wengi wakibaki wanyonge
KWA SASA NAONA UMMA UNEWACHOKA MPAKA WANAJISTUKIA
WAMEMGUSA MTOTO WA WATU DIAMOND KWA MIZENGWE NAONA HATA AIBU INAWAINGIA BAADA YA KUGUNDULIKA HARAKA NA WATU KUWAKATAAA
clouds wanadharau sana kuanzia kwa boss wao na hata hao kina kibonde,wanajikuta wajuaji MNO wa kila kitu,wanatukana,wanadharaulisha then wanajidai kumsifia JPM kinafki
CLOUDS NI WANYONYAJI NA WACHUMIA TUMBO HAWA,WALO RADHI WAKUPIGIE PROMO YA HALI YA JUU ILI WAPATE HELA YAO NA KISHA KUKUTUMA JALALANI KAMA TAKATAKA
hawa clouds mwisho wao umefika sasa,nafikir wanapotea wao hawaamini,maana kila mtu hawataki sasa kwa upuuzi wao
Ulimwengu wa dot com huu,wameshindwa kuzichanga karata zao vizuri na sasa WA naenda kupotezwa na watoto wadogo sana/UMMA ulio wakataaa
NIMEONA SASA TIMES FM,MAGIC FM,CHANNEL TEN NA HATA TBC WAMEANZA KUZIONA FURSA SASA .nafikir hata wao walikua hawapendezwi na mitabia ya HAWA clouds kujiona wao ni kama miungu watu mpaka kuwadhalilisha watoto wadogo kama ruby kuomba msamaha waziwazi ndani ya kipindi
Clouds ni chombo cha habar cha kuchunga sana,ni kama kakundi Fulani kakujenga fitna na kuongeza chumvi mambo mengi sanaaaa
Clouds wakitofautiana na mtu wapo tayari kutumia mamlaka yao ya kua na Media ktk kummaliza huyo MTU na kumchafua ndani ya jamiiii
Wapo vizur sana katika fitna na majungu,kiasi hata baadhi ya wananchi eti wanaogopa kua utapotea ukijaribu kwenda nao against
Clouds ni wanyonyaji,viburi,jeuri ma wafitinishaji wazur wa watu waliogombana nao na jamiii
Clouds wanawatumia vibaya nafasi hii ya media
Serikali iwaangalie sana HAWA Jamaa,wamekua mwiba sasa kwa watu wengi na wengi wakibaki wanyonge
KWA SASA NAONA UMMA UNEWACHOKA MPAKA WANAJISTUKIA
WAMEMGUSA MTOTO WA WATU DIAMOND KWA MIZENGWE NAONA HATA AIBU INAWAINGIA BAADA YA KUGUNDULIKA HARAKA NA WATU KUWAKATAAA
clouds wanadharau sana kuanzia kwa boss wao na hata hao kina kibonde,wanajikuta wajuaji MNO wa kila kitu,wanatukana,wanadharaulisha then wanajidai kumsifia JPM kinafki
CLOUDS NI WANYONYAJI NA WACHUMIA TUMBO HAWA,WALO RADHI WAKUPIGIE PROMO YA HALI YA JUU ILI WAPATE HELA YAO NA KISHA KUKUTUMA JALALANI KAMA TAKATAKA
hawa clouds mwisho wao umefika sasa,nafikir wanapotea wao hawaamini,maana kila mtu hawataki sasa kwa upuuzi wao
Ulimwengu wa dot com huu,wameshindwa kuzichanga karata zao vizuri na sasa WA naenda kupotezwa na watoto wadogo sana/UMMA ulio wakataaa
NIMEONA SASA TIMES FM,MAGIC FM,CHANNEL TEN NA HATA TBC WAMEANZA KUZIONA FURSA SASA .nafikir hata wao walikua hawapendezwi na mitabia ya HAWA clouds kujiona wao ni kama miungu watu mpaka kuwadhalilisha watoto wadogo kama ruby kuomba msamaha waziwazi ndani ya kipindi