Makonda kumbe alikuwa na haki kutowaomba msamaha Clouds Media Group

Huuu umungu MTU wa clouds hauwez kufanya na watu magenious kama diamond


Afu usifananishe mlima na kichuguu,TID ruby walikua alone
WCB NI TROOPS NA NGUVU YA UMMA



mistake kuhalalisha uonevu wa clouds wa muda na nguvu ya sasa




Uoga wenu upelekeni HUKO huko



KWANZA KAMUULIZENI HUYO KUSAGA NA CLOUDS, BATTLE HILI WANSLIONAJE UKIFANANISHA NA YALO PITA





kwa sasa wanatapatapa tu
 
Umeandika vizuri lakini punguza hasira mkuu
 
Kutoka 1998, hadi Leo bado wanashikilia industry ya burudani, ukizingatia na fitna za kibiashara, si kazi rahisi, kutoka kupanga katika kachumba kamoja kitega uchumi, hadi kumiliki media house si kazi ya mchezo, sisemi kwamba hawawezi kukosea, ila kebehi zako zinapoteza points zako. Issue ya fitna ni sehemu ya maisha, wapi ambapo hakuna fitna? Kuhusu unyonyaji ni sehemu ya kiu ya kila mfanyabiashara, kwani wanaonyonywa wanashikiwa bunduki? Si wanasaini wenyewe mikataba!!? Kama kuna upungufu wa kisheria ya ha za wasanii wakulaumiwa ni serekali, sikuzote mfanyabiashara huangalia fursa.
 
Si kweli, Wakati wa sakata la dawa za kulevya media zilijaribu kumzima Makonda lakini zilichemka, sio kila mtu ni wa kuzimwa, example mr president
 
Si kweli, Wakati wa sakata la dawa za kulevya media zilijaribu kumzima Makonda lakini zilichemka, sio kila mtu ni wa kuzimwa, example mr president
Media ipi ilijaribu mzima?..nakumbuka ndio kipindi makonda na clouds marafiki haswaa, ITV na Azam walikuja wakarusha live event au unaongelea media ipi iliyojaribu mzima!?..
 
Funga mdomo wako unatuletea hadith za mapenzi, Ambazo hazina kichwa wala miguu...!! Mambo ya Bashite humu yanini?
 
Hakuna msukuma wa kuomba msamaha vitu vya kipuuz puuz kama hivyo

Mfano mzur ni dudu baya
 
Alichoandika ni sawa na kusema kwakuwa Clouds wananyonya wasanii basi wavamiwe kwa silaha.
sawa kabisa fasiliteta ameandika povuu lingiiii wakati ilitakiwa aandike hivi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…