Makonda kupelekwa Ethiopia

Tabutupu

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2010
Posts
13,206
Reaction score
18,549
Katika mazungumzo yao, waziri mkuu wa Ethiopia ameomba msaada wa wakuu was mikoa walau wawili ili wakamaidie kuboresha hali ya maisha kama walivyo Fanya hapa Tanzania. Waziri Huyo ameridhishwa sana na uchapakazi wa wakuu wa mikoa wa Tanzania hasa katika kusimamia swala zima la viwanda na usafi pamoja na shisha.

Naye mwenyeji wake amemhakikishia Waziri mkuu Huyo kuwa atampa wakuu wa mikoa wawili kutoka Arusha, na Dar es salaam ili wakamsaidie kuboresha viwanda huko Ethiopia.
mtangazaji wenu tabutupu kutoka shida FM.
 
Amchukue tu mazima lkn asimdai cheti maana halali ni cha kuzaliwa tu vingne vyooote feki
 
Leo ni siku gani tena?
 
Leo siku ya bashite...
 
tumesema habari za makondo hatutaki kuziona wala kuziskia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…