kajojo JF-Expert Member Joined Jun 9, 2012 Posts 2,946 Reaction score 5,470 Jun 4, 2019 #21 Hahaha aluuuu.... We mmbaya Sky Eclat said: View attachment 1117140 View attachment 1117137 Click to expand...
Hahaha aluuuu.... We mmbaya Sky Eclat said: View attachment 1117140 View attachment 1117137 Click to expand...
guzman_ JF-Expert Member Joined Jan 27, 2016 Posts 1,268 Reaction score 2,330 Jun 4, 2019 #22 Huyu jamaa mwisho wake unaweza kuwa sio mzuri kabisa. Kuna awamu itakuja haitamvumilia kwa haya madudu anafanya.
Huyu jamaa mwisho wake unaweza kuwa sio mzuri kabisa. Kuna awamu itakuja haitamvumilia kwa haya madudu anafanya.
fimboyaasali JF-Expert Member Joined Jan 14, 2011 Posts 8,617 Reaction score 8,244 Jun 4, 2019 #23 tafsiri yake serikali ya mkoa qa dar ni simba
fimboyaasali JF-Expert Member Joined Jan 14, 2011 Posts 8,617 Reaction score 8,244 Jun 4, 2019 #24 dar manula anataka kuminula jamaa,angalia alivyokuwa anaangalia makinikia
Ndengaso JF-Expert Member Joined Jul 18, 2014 Posts 7,831 Reaction score 14,259 Jun 4, 2019 #25 OKW BOBAN SUNZU said: Makonda mpaka aje amtukane Magufuli mwenyewe labda ndio hatua zitachukuliwa. Haya ni matumizi mabaya ya madaraka Click to expand... Tatizo ni mkuu huziba Masikio pindi Makonda anaposemwa kwa ubaya, ila haya ni matusi tosha...
OKW BOBAN SUNZU said: Makonda mpaka aje amtukane Magufuli mwenyewe labda ndio hatua zitachukuliwa. Haya ni matumizi mabaya ya madaraka Click to expand... Tatizo ni mkuu huziba Masikio pindi Makonda anaposemwa kwa ubaya, ila haya ni matusi tosha...