Makonda kutoa fedha ofisi ya serikali

Huyu jamaa mwisho wake unaweza kuwa sio mzuri kabisa. Kuna awamu itakuja haitamvumilia kwa haya madudu anafanya.
 
dar manula anataka kuminula jamaa,angalia alivyokuwa anaangalia makinikia
 
Makonda mpaka aje amtukane Magufuli mwenyewe labda ndio hatua zitachukuliwa. Haya ni matumizi mabaya ya madaraka
Tatizo ni mkuu huziba Masikio pindi Makonda anaposemwa kwa ubaya, ila haya ni matusi tosha...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…