Makonda, Mambosasa huku Ubungo Msewe hakuna serikali?

Makonda, Mambosasa huku Ubungo Msewe hakuna serikali?

Titicomb

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2012
Posts
12,823
Reaction score
21,210
Kuna bar ipo makazi ya watu hapa Kanisa la Katoliki la Mtakatifu Paulo inapiga muziki mkubwa sana watoto hawalali, wagonjwa wanateseka.
Bar ipo makazi ya watu inapiga muziki mkubwa sanaa na hakuna sound proof, juu ya yote sidhani kama wana leseni ya night club maana wangefuata mashariti ya kuzuia kelele kwa wakazi wa jirani.

Tunauliza nani anatoa vibali vya muziki wa kelele hivi katikati ya wiki na weekend yote?

Anae toa vibali anazingatia hadha wanayopata wakazi wa jirani hasa wanafunzi, watoto wadogo na wagonjwa?

Pesa ngumu lakini viongozi wetu wa serikali za mitaa na manispaa tulindeni wanainchi.

Nakala kwa IGP Sirro.
 
Hawa jamaa kama hawazuiliwi kupiga muziki wao kwa nguvu tutajua rushwa imetumika. Tunachotaka wapunguze kabisa sauti hata wakikesha hakuna shida mradi serikali ipate kodi yake, wenye bar na waajiriwa wake wajipatie kipato chao.
 
Weee mwanaume wa Dar acha kulialia ovyo tafuta wanaume wenzako kama 20 nendeni kamkamateni DJ kisha vunjen miziki yote na huyo DJ mpeni kipigo kizito.
 
Noise pollution....
Mkuu nyie jikusanyeni muende mkakeshe hapo kwenye bar yake piteni shortcut otherwise mtapata tabu sana.

Uliwahi sikia rais anarushiwa chupa yenye mkojo hiyo ni shortcut ukienda kumshitaki mahakamani husikilizwi, umewahi sikia watu wamekunya mlangoni kwenye ofisi ya kiongozi yeyote hizi ndio shortcuts.

Nanyie piteni shortcuts mkampigie ngoma, mkatite, mtapike nk. Hadi akili imkae sawa awaheshimu.
 
Noise pollution....
Mkuu nyie jikusanyeni muende mkakeshe hapo kwenye bar yake piteni shortcut otherwise mtapata tabu sana.
Uliwahi sikia rais anarushiwa chupa yenye mkojo hiyo ni shortcut ukienda kumshitaki mahakamani husikilizwi, umewahi sikia watu wamekunya mlangoni kwenye ofisi ya kiongozi yeyote hizi ndio shortcuts.
Nanyie piteni shortcuts mkampigie ngoma, mkatite, mtapike nk. Hadi akili imkae sawa awaheshimu.
 
Back
Top Bottom