Makonda na Gambo Ndio mfano wa Siasa Halisi za CCM zilivyo nyuma ya Pazia hakuna kusuluhishana Kanisani kama CHADEMA!

Makonda na Gambo Ndio mfano wa Siasa Halisi za CCM zilivyo nyuma ya Pazia hakuna kusuluhishana Kanisani kama CHADEMA!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Wanachonifurahisha Paul Makonda na Mrisho Gambo ni kwamba Wao hawafanyi siasa za kinafiki

Kila Kitu kinawekwa mbele ya pazia halafu July Wajumbe wataamua kwenye Kura za maoni

Tofauti na Mbowe na Tundu Lisu wanaopelekana Kanisani kusuluhishwa kisirisiri

Ahsanteni sana
 
Huwezi amini mjomba naye ni mama.

Siku hizi ukiuliza nani kama mama kijana wa hovyo anajibu "Mjomba"
 
Wanachonifurahisha Paul Makonda na Mrisho Gambo ni kwamba Wao hawafanyi siasa za kinafiki

Kila Kitu kinawekwa mbele ya pazia halafu July Wajumbe wataamua kwenye Kura za maoni

Tofauti na Mbowe na Tundu Lisu wanaopelekana Kanisani kusuluhishwa kisirisiri

Ahsanteni sana
Suluhishaneni hata kwenye Masinagogi lakinii mkirudi uwanjani CCM inawatwanga tu.
 
Wanachonifurahisha Paul Makonda na Mrisho Gambo ni kwamba Wao hawafanyi siasa za kinafiki

Kila Kitu kinawekwa mbele ya pazia halafu July Wajumbe wataamua kwenye Kura za maoni

Tofauti na Mbowe na Tundu Lisu wanaopelekana Kanisani kusuluhishwa kisirisiri

Ahsanteni sana
Chapombe na mifano yako ya kipombe pombe tu
 
Wanachonifurahisha Paul Makonda na Mrisho Gambo ni kwamba Wao hawafanyi siasa za kinafiki

Kila Kitu kinawekwa mbele ya pazia halafu July Wajumbe wataamua kwenye Kura za maoni

Tofauti na Mbowe na Tundu Lisu wanaopelekana Kanisani kusuluhishwa kisirisiri

Ahsanteni sana
Kwa iyo makonda anataka Ubunge pia wa Arusha mjini? Ni kwa vile mwaka huu hakuna uchaguzi, vinginevyo Mh lema angewatia adabu
 
Back
Top Bottom