Makonda naongea mara ya mwisho, wadhibiti hawa mapema kabla sijawadhibiti mimi

Makonda naongea mara ya mwisho, wadhibiti hawa mapema kabla sijawadhibiti mimi

30841376_2010308922568087_3000410912570998784_n.jpg
 
Duh! Kweli wanaume sasa tumefikia levele ya ajabu, bado kidogo tutaka nasi tushike mimba na kuzaa! Lazima mababu zetu wanafurukuta makaburini...
Inasikitisha sana..Lakini tusishangae, tumesoma humu ndani jinsi wanaume wasivyo na misimamo, kulia lia kisa demu katiwa nje, mke kuzileta zile za jeuri na dharau lakini lidume badala ya kumshikisha adabu huyo mama, laja humu lipate symphathy!
Ni disaster..
Sidhani kama wanafanya vibaya kama wengi wanavyosema. Huu mchezo ni mzuri sana kwa afya ya mwili. Taache mawazo ya kizamani.
 
Rede si mchezo tu mkuu? Tena ni zoezi (aerobic) zile movements unakuta umechoma calories za kutosha
 
Rede si mchezo tu mkuu? Tena ni zoezi (aerobic) zile movements unakuta umechoma calories za kutosha
Huu mchezo ni mzuri sana sana kwa kufanya mazoezi. Tena sana. Ni zaidi ya kukimbia. Inabidi mchezaji afanye movement za aina nyingi na kila kiungo kinapata zoezi. Nashangaa watu wanauponda.
 
Back
Top Bottom