Neno la hekima sana hili.Aendelee kujifunza. Kijana ana uthubutu sana ni vile hakuwa anajua A B C za uongozi na pia mkuu alikua anamlea....
Kujikwaa si kuanguka...
Akae benchi zaidi apate kujifunza
Kiongozi wa wapi?Neno la hekima sana hili.
Kwa sabbu ameshajifunza + kuhitimu mafunzo basi kwa baadae Mungu akimjalia akiwa kiongozi aweze kutafakari + kunyambua mambo.
Alikuwa mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa atuambie alipo Bollen Ngeti kwanza ... Na mwambie atubu kwanzaNeno la hekima sana hili.
Kwa sabbu ameshajifunza + kuhitimu mafunzo basi kwa baadae Mungu akimjalia akiwa kiongozi aweze kutafakari + kunyambua mambo.
Anakuwa Mzee Shetani..shetani akizeeka anakua nani vile???
hahahhaahahaa
Akae kwenye Jinsia yake.Akae kwa kutulia