Pre GE2025 Makonda: Sioni mtu wala kabila litakalonizuia 2025 kuzunguka katika taifa hili kutafuta kura za Rais Samia na Mwinyi

Pre GE2025 Makonda: Sioni mtu wala kabila litakalonizuia 2025 kuzunguka katika taifa hili kutafuta kura za Rais Samia na Mwinyi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Huyu Makonda ni mkuu wa mkoa au ni katibu mwenezi wa CCM?

Hivi karibuni wakati anaongea mbele ya Rais Mwinyi, Makonda alisema kuwa haoni kitu kitakachomzuia kumpigia kampeni Rais Mwinyi na Rais Samia kwenye uchaguzi unaofuata.

Pia amesema kuwa ameshaona kuna baadhi ya watu wana nia ya kugombea na atadeal nao kwani hao watu ni saizi yake.


Soma pia: RC Makonda apiga chai na maandazi wakati akitoa wito kwa wananchi wa mkoa huo kujitokeza kujiandikisha kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa

Hizi kauli zinatokaje kwa mtu kama Makonda ambaye ni mtumishi wa umma na analipwa mshahara na kodi za wananchi wa vyama vyote?

Mna uhakika huyu ni mtumishi wa umma kweli?
 
Sio watum
Wakuu,

Huyu Makonda ni mkuu wa mkoa au ni katibu mwenezi wa CCM?

Hivi karibuni wakati anaongea mbele ya Rais Mwinyi, Makonda alisema kuwa haoni kitu kitakachomzuia kumpigia kampeni Rais Mwinyi na Rais Samia kwenye uchaguzi unaofuata.

Pia amesema kuwa ameshaona kuna baadhi ya watu wana nia ya kugombea na atadeal nao kwani hao watu ni saizi yake.


Soma pia: RC Makonda apiga chai na maandazi wakati akitoa wito kwa wananchi wa mkoa huo kujitokeza kujiandikisha kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa

Hizi kauli zinatokaje kwa mtu kama Makonda ambaye ni mtumishi wa umma na analipwa mshahara na kodi za wananchi wa vyama vyote?

Mna uhakika huyu ni mtumishi wa umma kweli?
Rcs na DCs ni machawa sio watumishi wa umma Kwa katiba mbovu tuliyo nayo! Wala sio lazima wawepo!
 
Wakuu,

Huyu Makonda ni mkuu wa mkoa au ni katibu mwenezi wa CCM?

Hivi karibuni wakati anaongea mbele ya Rais Mwinyi, Makonda alisema kuwa haoni kitu kitakachomzuia kumpigia kampeni Rais Mwinyi na Rais Samia kwenye uchaguzi unaofuata.

Pia amesema kuwa ameshaona kuna baadhi ya watu wana nia ya kugombea na atadeal nao kwani hao watu ni saizi yake.


Soma pia: RC Makonda apiga chai na maandazi wakati akitoa wito kwa wananchi wa mkoa huo kujitokeza kujiandikisha kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa

Hizi kauli zinatokaje kwa mtu kama Makonda ambaye ni mtumishi wa umma na analipwa mshahara na kodi za wananchi wa vyama vyote?

Mna uhakika huyu ni mtumishi wa umma kweli?
Ukabila tena mbona kashindwa mapema sana
 
Wakuu,

Huyu Makonda ni mkuu wa mkoa au ni katibu mwenezi wa CCM?

Hivi karibuni wakati anaongea mbele ya Rais Mwinyi, Makonda alisema kuwa haoni kitu kitakachomzuia kumpigia kampeni Rais Mwinyi na Rais Samia kwenye uchaguzi unaofuata.

Pia amesema kuwa ameshaona kuna baadhi ya watu wana nia ya kugombea na atadeal nao kwani hao watu ni saizi yake.


Soma pia: RC Makonda apiga chai na maandazi wakati akitoa wito kwa wananchi wa mkoa huo kujitokeza kujiandikisha kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa

Hizi kauli zinatokaje kwa mtu kama Makonda ambaye ni mtumishi wa umma na analipwa mshahara na kodi za wananchi wa vyama vyote?

Mna uhakika huyu ni mtumishi wa umma kweli?
jambazi
 
Wakuu,

Huyu Makonda ni mkuu wa mkoa au ni katibu mwenezi wa CCM?

Hivi karibuni wakati anaongea mbele ya Rais Mwinyi, Makonda alisema kuwa haoni kitu kitakachomzuia kumpigia kampeni Rais Mwinyi na Rais Samia kwenye uchaguzi unaofuata.

Pia amesema kuwa ameshaona kuna baadhi ya watu wana nia ya kugombea na atadeal nao kwani hao watu ni saizi yake.


Soma pia: RC Makonda apiga chai na maandazi wakati akitoa wito kwa wananchi wa mkoa huo kujitokeza kujiandikisha kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa

Hizi kauli zinatokaje kwa mtu kama Makonda ambaye ni mtumishi wa umma na analipwa mshahara na kodi za wananchi wa vyama vyote?

Mna uhakika huyu ni mtumishi wa umma kweli?
Nyamitako ni mpuuzi sana
 
badala ya kutafuta maendeleo na pesa bado tupo kwenye karne ya kutafuta kura? duu tumeachwa mbali sana.Pia mkumbusheni kuwa atashangaa labda CCM waibe kura kama kawaida yao maana ndio kazi wanaijua kwa ufanisi
 
Back
Top Bottom