Makonda: Wanaume wafanyakazi wakatwe asilimia 40 ya mishahara yao wapewe wake zao

Makonda: Wanaume wafanyakazi wakatwe asilimia 40 ya mishahara yao wapewe wake zao

Akili na Elimu ni vitu Viwili tofauti kabisa
Kwa maana havina uhusiano unaweza ukawa na Elimu ukakosa Akili,vivyo hivyo
Unanaweza ukawa na Akili lakini Elimu huna binafsi huwa siangalii Elimu mi naangalia AKILI mtu mwenye uwezo wa kutafakari mambo ya busara sio blaablaa

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwa hiyo Bashite anatafakari mambo ya busara?????!!!!
 
IQ ya Bashite iko chini mno huku anapinga uchoko lakini matendo yake ni ya kichoko zaidi ya machoko na ulaya walianza hivi hivi baadae wakajitangaza na kutaka kuolewa kabisa. Kichwa chake hakifikiri zaidi ya anayosema.
Hapendi kujionesha Ila ni muhusika wa hiyo know lol, huoni maumbo yanamuumbua tuuh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom