donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
Salam wakuu,
Kwa muda wa miaka mingi enzi za zamani, ukitaja katika shule ambazo zilikua zinafanya vizuri kitaaluma na kimichezo, makongo nayo ilikuepo kwenye list. Nakumbuka enzi za headmaster Col Iddi Omary Kipingu, alijitahidi kuiweka makongo katika ramani ya kimichezo na kitaaluma. Ni wanasport wengi sana ambao wamepitia shule ya sekondari ya makongo ambao waliwika au wanawika katika nyanja za michezo mbali mbali. Nakumbuka wimbo wa shule kidogo," Najivunia shule yangu makongo, sekondari ing'aayo kielimu, pia na kwa fani nyingine zote makongo sekondari oye oye". Enzi hizo ukitaka uone cha mtema kuni kutoka kwa marehemu afande miraji au babu chacha basi wewe uchelewe asembo au usiwe unaimba wakati wenzako wanaimba. Wapi wale wazee wa JORO? Hiki kilikua ni chakula cha wabishi peke yake. Kiukweli shule zamani ilikua ina perfomance nzuri tu, lakini kwa miaka ya karibuni hali imebadilika sana. Makongo sasa hivi imekua mdebwedo sana kuliko hata baadhi ya shule za kata. Imagine kama mwaka jana division one kidato cha nne ilikua moja tu..!! Nashindwa kuelewa what went wrong mpaka shule imefikia kushika mkia kiasi hiki. Anyways, kwa wale ex-makongo je nio kitu gani unakikumbuka zaidi pale makongo? Au ni adhabu gani ambayo ulishawahi kuipata ambayo kamwe hautoisahau? Nawasilisha.
Kwa muda wa miaka mingi enzi za zamani, ukitaja katika shule ambazo zilikua zinafanya vizuri kitaaluma na kimichezo, makongo nayo ilikuepo kwenye list. Nakumbuka enzi za headmaster Col Iddi Omary Kipingu, alijitahidi kuiweka makongo katika ramani ya kimichezo na kitaaluma. Ni wanasport wengi sana ambao wamepitia shule ya sekondari ya makongo ambao waliwika au wanawika katika nyanja za michezo mbali mbali. Nakumbuka wimbo wa shule kidogo," Najivunia shule yangu makongo, sekondari ing'aayo kielimu, pia na kwa fani nyingine zote makongo sekondari oye oye". Enzi hizo ukitaka uone cha mtema kuni kutoka kwa marehemu afande miraji au babu chacha basi wewe uchelewe asembo au usiwe unaimba wakati wenzako wanaimba. Wapi wale wazee wa JORO? Hiki kilikua ni chakula cha wabishi peke yake. Kiukweli shule zamani ilikua ina perfomance nzuri tu, lakini kwa miaka ya karibuni hali imebadilika sana. Makongo sasa hivi imekua mdebwedo sana kuliko hata baadhi ya shule za kata. Imagine kama mwaka jana division one kidato cha nne ilikua moja tu..!! Nashindwa kuelewa what went wrong mpaka shule imefikia kushika mkia kiasi hiki. Anyways, kwa wale ex-makongo je nio kitu gani unakikumbuka zaidi pale makongo? Au ni adhabu gani ambayo ulishawahi kuipata ambayo kamwe hautoisahau? Nawasilisha.