donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
- Thread starter
-
- #41
Daahhh,Makongo ilikua kama depo bandugu!!!!kuna siku nlichelewa nkakuta late Miraji getini......ahhh ilikua sooo,mara akaibuka mc babu Ayubu(msanii) nae kumbe kachelewa asa ile late Miraji kumwona tu akamwambiawee'nanhiiii,leo napiga viboko viwili tuuu.........ila kwasababu wewe(Ayubu) ni maarufu nitakupa BONUS ya viwili!!kwahiyo vitakua vinneee!........jamaa akala kunjo wiki bee!!!!
Siso nilimkimbia muda sasa,kwa wale wa bweni mnamkumbuka master scout,jamaa alikuwa mnoko mbaya
Wale wa spoti.......tunamkumbuka sana KANAKAMFUMU!!!!!!
Namjua, wapi Daffa bingwa wa book/keeping
......alikua a.k.a mabaga!!!!vipi mchakamchaka wa jmos......kitu mpk kwa mkullu wa majeshi ukidoji bruce anakuchana ------!!!au we'ulikua kibito"?
Siso nilimkimbia muda sasa,kwa wale wa bweni mnamkumbuka master scout,jamaa alikuwa mnoko mbaya
Nilikimbia mara 2 tu nikaenda kufoji cheti niwe nalala.....mbona kuna siku kikanuka maana Kipingu mwenyewe alikimbia siku hiyo,Mbona nikaenda kujificha CHAMPION ingawa bweni langu lilikuwa tausi!!!!
Hahaha mmenikumbusha mbali sana kipindi kile tulikua na zamu j3 sa tulikua tunabishana mipira ya wknd tu badala ya kufanya zamu sa afande miraji akatuona alitupiga biti sasa kuanzia wiki ijayo nikimkuta mtu anasimulia mpira yule anaesimulia anainama halaf yule mwenzake anampiga shuti matakon halaf wote mnashangilia goaal.
Haaa kuna siku yeyeye alitukimbiza na ile korando yake toka mwenge mpka makongo..siwezi kusahau halafu akanipa you mama form 4?which form ar u?nikaonaa hee leo kazi hipo..
Hahaha, wewe mbabe wa ununio sio?
Hahaha naona umekuja kivingine. Ndo mimi
Haaa kuna siku yeyeye alitukimbiza na ile korando yake toka mwenge mpka makongo..siwezi kusahau halafu akanipa you mama form 4?which form ar u?nikaonaa hee leo kazi hipo..
Hahaha mmenikumbusha mbali sana kipindi kile tulikua na zamu j3 sa tulikua tunabishana mipira ya wknd tu badala ya kufanya zamu sa afande miraji akatuona alitupiga biti sasa kuanzia wiki ijayo nikimkuta mtu anasimulia mpira yule anaesimulia anainama halaf yule mwenzake anampiga shuti matakon halaf wote mnashangilia goaal.
Hii shule ipo kwenye list ya shule zinazo fanya vizuri? mmh hayaa napitaa
Alikuwa beneti na afande miraji pia......yaani nilishawahi kugombana nae nisura tuzirushe kisa niligombana na Ahmed/Hemed ambae alikuwa kaka wa Bweni na kama nilimuona ITV kawa mwandishi wa habar.
Watu walijaa pale mess mpaka wanya bia za 500 pale karibu na mess wakaja mtiti mkali ulikuwa!!!