Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mhe. Makongoro Nyerere hapa ulikurupuka kusema baadhi ya viongozi walichochea vurugu sio kweli. Ukiwa Kiongozi ni muhimu kutumia burasa na kuchunga kinywa chako Mbele ya Kamera.
TIZAMA kipande cha video arafu tujiulize UCHOCHEZI UPO WAPI?
TIZAMA kipande cha video arafu tujiulize UCHOCHEZI UPO WAPI?