Andrew Nyerere
JF-Expert Member
- Nov 10, 2008
- 3,007
- 2,451
Usimlaumu dobi,kaniki ndivyo ilivyo. Kama watu wa Bunda hawamtaki Kikwete huwezi kusema kwamba Makongoro ameitia doa kampani ya Kikwete.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usimlaumu dobi,kaniki ndivyo ilivyo. Kama watu wa Bunda hawamtaki Kikwete huwezi kusema kwamba Makongoro ameitia doa kampani ya Kikwete.
CCm imekwesha,, hawana jipya
JK anasema amani na Utulivu... hii amani ni ipi???? na huu utulivu ni upi??????
yaani watanzania tudanganye na amani wakati Tanzania ni nchi maskini,, elimu mbovu,, miundo mbinu mibovu.. utawala wa kifamilia na urafiki na takrima umetawala,,, huduma za afya mbaya,,, kodi zimekuwa nyingi,,,<<<< HAKUNA HILO,, TUNAFANYA MABADILIKO...>>>
Watanzania tusidanganyinge na utawala huu wa ccm haufai tuupige chini sasa...