Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
NyongoHuu sio aina ya utani unatakiwa kufanywa na kiongozi wa hadhi yake mbele ya umma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NyongoHuu sio aina ya utani unatakiwa kufanywa na kiongozi wa hadhi yake mbele ya umma
Hivi Bado ni RC tu, makubwa. Nakubaliana na mleta Uzi kuwa huyu jamaa ni comedian haswa, I remember him kwenye official meeting Moja nilikuwa naye Babati akiwa R.C wa Manyara, yaani ni full utani na vichekesho especially Kwa ile jinsia.Ameziba tu riziki ya mtu kwenye ukuu wa mkoa
Jamaa anaishi maisha yake vizuri tu hana kinyongo na mtu yeye ni kufurahia tu ila unakuta kuna mtu anamchukia. Hizi chuki zingine ni zaidi ya magonjwa ya akili.Inawezakana huyu jamaa hakujua kipaji chake mapema aisee. Ana vituko mpaka mbasi.
Mara moja moja anatakiwa atokee kwenye stage ya Cheka tu kama badhi ya watu maarufu wanavyofanya Kenya kwenye Stand-up comedy za Churchill Show etc.
View attachment 3165196
View attachment 3165197
Tuache masihara hiyo pisi ya Voda ni mwiba sana❤️ yani pisikali sanaSa si akaungane na kina ndaro(mjeshi kikofia) na leonado
Maisha.siyo.serious kjhivyo. Cheka.usije.kufa kwa sononaHuu sio aina ya utani unatakiwa kufanywa na kiongozi wa hadhi yake mbele ya umma
Huyu
Jamaa anaishi maisha yake vizuri tu hana kinyongo na mtu yeye ni kufurahia tu ila unakuta kuna mtu anamchukia. Hizi chuki zingine ni zaidi ya magonjwa ya akili.
Maisha ni mafupi,acha afurahie bwana,Mimi ndani ya siku 20 mwezi huu nimepoteza watu wangu wa karibu watatu,Ngozi ya Simba ukimvika ng'ombe,huyo ng'ombe hawezi kuwa Simba. Furaha ni asili ya makongoro,uongozi ni ngozi tu aliyovikwa ila ataendelea kuwa na asili yake.Huu sio aina ya utani unatakiwa kufanywa na kiongozi wa hadhi yake mbele ya umma
Itakua mkuu japo ni ngumu mno mtoto kuwa kama baba yake kwa 100%Hivi Nyerere ana mtoto ambaye amerithi akili na charisma yake ?..
Kuna ile hata kukaribia au kuzidi ndio maana unaona hata mzee makamba katengeneza royal family hata kama hakuwa na platform kubwa sana. Ila kwa Nyerere ni kwamba alikuwa busy na Tanganyika hadi akajisahauItakua mkuu japo ni ngumu mno mtoto kuwa kama baba yake kwa 100%
Hakuna jibu mkuu , ila mara nyingi mtoto anaweza athiriwa na mazingira ya malezi piaKuna ile hata kukaribia au kuzidi ndio maana unaona hata mzee makamba katengeneza royal family hata kama hakuwa na platform kubwa sana. Ila kwa Nyerere ni kwamba alikuwa busy na Tanganyika hadi akajisahau
Ila tusiongee sana maana maisha bado ni marefu na Mungu asije kunipa jibu kupitia kizazi changu walahi 😁😁😁
Sasa tusifurahi kidogo napo taabu🙆♂️🙆♂️Huyu
Jamaa anaishi maisha yake vizuri tu hana kinyongo na mtu yeye ni kufurahia tu ila unakuta kuna mtu anamchukia. Hizi chuki zingine ni zaidi ya magonjwa ya akili.
Ila kwa watoto wa Nyerere mkuu ?Hakuna jibu mkuu , ila mara nyingi mtoto anaweza athiriwa na mazingira ya malezi pia
Kwa kweli 😃Hivi Bado ni RC tu, makubwa. Nakubaliana na mleta Uzi kuwa huyu jamaa ni comedian haswa, I remember him kwenye official meeting Moja nilikuwa naye Babati akiwa R.C wa Manyara, yaani ni full utani na vichekesho especially Kwa ile jinsia.
Awez kuacha konyagiKilevi amepunguza au ni kama kawa