Makope, marangi, makucha, na makatani ya wanawake

Nadhani mleta mada hakumaanisha mwanamke asijipambe.
Mwanamke lazima ajipambe ila tatizo linakuja unajipambaje na materials unazotumia.
Bado sijaona ubaya wa urembo alotaja, vyote vinamfanya mwanamke apendeze
 
chaaaa jamani, mtu ba starehe zake inakukeraje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…