robbyr
Senior Member
- Apr 8, 2017
- 129
- 221
Kama mtanzania Kila Kona ninayopita baada ya mvua kunyesha nakuta mlundikano Wa MAKOPO ya vinywaji mbalimbali kutoka Kwenye makampuni makubwa hapa nchini.
Tukitambua kuwa hizo ni Moja ya taka ngumu ambazo haziharibiki kabisa.
Nina mapendekezo mengi namna ya kufanya MAKOPO haya yaweze kuisha kama mifuko ya plastiki ilivyoisha na hapa tutaendelea kuheshimu na kukumbuka uongozi Wa JPM.
PENDEKEZO LANGU: Kila kiwanda kinachozalisha iwe MO, AZAM, Kilimanjaro, au Uhai nk . Serikali ihakikishe Kila kopo litakuwa na thamani ya shilingi mia litakapouzwa baada ya kutumika lengo ni kutengeneza fursa na kuchochea watu kukusanya na kuuza wakijua faida ni kubwa licha ya Sasa Bado hayana thamani sokoni baada ya kutumika.
Tuache kutazama faida katika Kodi na kwa wenye viwanda na hivyo tutazame baadae ya kizazi kijacho nani atawafuta machozi kwa uchafu huo.
Pia, inaoneka MAKOPO ya rangi hayana thamani baada ya kutoka kiwandani mfano ya Energy Azam na Mo energy hivyo imechangia hayaokotwi na kuongeza taka ngumu mtaani naomba viwanda viweke mikakati ya kurudisha kwa kwa matumizi tena.
Pia MAKOPO kama rai tunaweza kukusanya na kutengeneza urembo mbalimbali kwani hii itachangia kupunguza ongezeko lake mtaani
Na mwisho, wasomi tuwe kielelezo Cha usafi kwani si ajabu kumwona msomi na mtu mwelewa anakunywa maji na kurusha Kopo bila kujali mazingira.
Asante sana.
Tukitambua kuwa hizo ni Moja ya taka ngumu ambazo haziharibiki kabisa.
Nina mapendekezo mengi namna ya kufanya MAKOPO haya yaweze kuisha kama mifuko ya plastiki ilivyoisha na hapa tutaendelea kuheshimu na kukumbuka uongozi Wa JPM.
PENDEKEZO LANGU: Kila kiwanda kinachozalisha iwe MO, AZAM, Kilimanjaro, au Uhai nk . Serikali ihakikishe Kila kopo litakuwa na thamani ya shilingi mia litakapouzwa baada ya kutumika lengo ni kutengeneza fursa na kuchochea watu kukusanya na kuuza wakijua faida ni kubwa licha ya Sasa Bado hayana thamani sokoni baada ya kutumika.
Tuache kutazama faida katika Kodi na kwa wenye viwanda na hivyo tutazame baadae ya kizazi kijacho nani atawafuta machozi kwa uchafu huo.
Pia, inaoneka MAKOPO ya rangi hayana thamani baada ya kutoka kiwandani mfano ya Energy Azam na Mo energy hivyo imechangia hayaokotwi na kuongeza taka ngumu mtaani naomba viwanda viweke mikakati ya kurudisha kwa kwa matumizi tena.
Pia MAKOPO kama rai tunaweza kukusanya na kutengeneza urembo mbalimbali kwani hii itachangia kupunguza ongezeko lake mtaani
Na mwisho, wasomi tuwe kielelezo Cha usafi kwani si ajabu kumwona msomi na mtu mwelewa anakunywa maji na kurusha Kopo bila kujali mazingira.
Asante sana.