docta seifu dodoma
Member
- Aug 11, 2017
- 61
- 78
- Thread starter
-
- #61
Swali.Je,Yesu anajuwa kila kitu ?.Mkuu embu muelimishe huyo Mpumbavu aliyeeenda shule lakini bado anafikiria kwa kutumia makalio.
Umeeleza moja ya kosa ni kutowabagua watoto kwa jinsi zao, kabla hujamaliza somo umeingiza ubaguzi wa kidini, unadhani unajenga au unabomoa!Leo nakat niwaumize vichwa tu hahaha dini Ni uislam tuuuuu din nyingi sio
Sent using Jamii Forums mobile app
najengaUmeeleza moja ya kosa ni kutowabagua watoto kwa jinsi zao, kabla hujamaliza somo umeingiza ubaguzi wa kidini, unadhani unajenga au unabomoa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Uzi ni mzur ila huu uzumbukuku wa kidin hauna mantiki kabisa hakuna aliye kufa akarud kuja kusema dini flan ni bora kuliko nyingine tuheshimiane tuishi vzr hata kama naabudu mchanga bado sion sababu ya kubishania uborA wa dini, naamin hata ww umeikuta hyo dini isingekuwepo ungelisema nn??? Tuheshimiane tuMungu hana dini kwel kwasababu yeye aabudi sisi ndio tunaabudu sasa katika huku kuabudu akatuchagulia dini ya kiislam
Sent using Jamii Forums mobile app
Humu mimi sitaki like wala koment kaka hizo nimezichoka toka kws group yanguNo wonder, uzi mzuri lakini umepata 4 likes only.
JibuUzi ni mzur ila huu uzumbukuku wa kidin hauna mantiki kabisa hakuna aliye kufa akarud kuja kusema dini flan ni bora kuliko nyingine tuheshimiane tuishi vzr hata kama naabudu mchanga bado sion sababu ya kubishania uborA wa dini, naamin hata ww umeikuta hyo dini isingekuwepo ungelisema nn??? Tuheshimiane tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaushahid wa kimaandiko ?we mbna unakuwa mjinga kiasi hicho kwani mudi alivyombaka yule binti wa miaka 9 kuna mtu amewakashifu au kudharau dini yenu pamoja na huo ubakaji uliofanywa na mudi, kuwa na heshima kijana tunavumiliana kwa mengi
Sent using Jamii Forums mobile app
Jibu unalo kuwa umeikutaJibu
Al-Baqara (208).
Enyi mlio amini! Ingieni katika Uislamu kwa ukamilifu, wala msifuate nyayo za She'tani; hakika yeye kwenu ni adui aliye wazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani kila mtu mwalimu huko!!!Siku hizi makundi ya whatsapp yamekuwa biashara
Ingelikuwa ww ndie mfumbuz, mgunduz au mwanzilishi na ushaidi unao ungeeleweka ila umekuta kama wengine walivyo zikuta dini zao kwahyo heshima kitu cha bure
Hiyo aya haijawahi kuandikwa haijaandikwa na haitoandikwa ni uwongo
Mimi naheshimu ila sitii ila sema wewe hujanielewa alafu ninamarafiki wenge sana wakiristoIngelikuwa ww ndie mfumbuz, mgunduz au mwanzilishi na ushaidi unao ungeeleweka ila umekuta kama wengine walivyo zikuta dini zao kwahyo heshima kitu cha bure
Sent using Jamii Forums mobile app
Namba sita imefanya uonekane fala! Too bias!
Namba sita imefanya uonekane fala! Too bias!