Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Ndio maana tanakata katiba mpya ili hawa wala asali wote waonje joto ya jiwe na wafilisiwe.Vipi serikali ikisaliti wananchi? Huo Ni uhaini?
Wote tunajua hakuna nchi bila wananchi.
Umekosea,treason ndio uhaini lazima kuwe na njama za kupindua au kuua kiongozi wa nchi usika hata kama haujahusisha nchi nyingine
Acha siasa zisizo na ulazima kwenye hii postVipi serikali ikisaliti wananchi? Huo Ni uhaini?
Wote tunajua hakuna nchi bila wananchi.
Sasa yule Daktari wa Amana aliebaka na kulawiti mtoto wa miaka 17 mbon kapewa dhamana? Au hawa majaji na mahakimu wanabaka na kulawiti hizi sheria? 😬Kifungu cha 148(5)(a) cha sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai sura ya 20 kinasema;
Afisa polisi ambapo mtuhumiwa anashikiliwa au mahakama ambapo mtuhumiwa amepelekwa kusikiliza shauri lake, haitoruhusiwa kutoa dhamana kwa mtu ambaye ameshtakiwa kwa makosa YAFUATAYO;
1. Mauaji.
2. Uhaini.
3. Unyang'anyi wa kutumia silaha.
4. Ulawiti.
5. Ugaidi.
6. Utakatishaji fedha.
7. Biashara ya dawa za kulevya. n.k
Sawa msalimie Mama tozo,Acha siasa zisizo na ulazima kwenye hii post