Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Kifungu cha 148(5)(a) cha sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai sura ya 20 kinasema;
Afisa polisi ambapo mtuhumiwa anashikiliwa au mahakama ambapo mtuhumiwa amepelekwa kusikiliza shauri lake, haitoruhusiwa kutoa dhamana kwa mtu ambaye ameshtakiwa kwa makosa YAFUATAYO;
1. Mauaji
2. Uhaini
3. Unyang'anyi wa kutumia silaha
4. Unajisi
5. Ugaidi
6. Utakatishaji fedha
7. Biashara ya dawa za kulevya. n.k
Source: Jungu la Sheria Tanzania
Afisa polisi ambapo mtuhumiwa anashikiliwa au mahakama ambapo mtuhumiwa amepelekwa kusikiliza shauri lake, haitoruhusiwa kutoa dhamana kwa mtu ambaye ameshtakiwa kwa makosa YAFUATAYO;
1. Mauaji
2. Uhaini
3. Unyang'anyi wa kutumia silaha
4. Unajisi
5. Ugaidi
6. Utakatishaji fedha
7. Biashara ya dawa za kulevya. n.k
Source: Jungu la Sheria Tanzania