Makosa kama haya ni aibu kubwa kwa nchi yetu

Makosa kama haya ni aibu kubwa kwa nchi yetu

MUTUYAMUNGU

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2014
Posts
1,825
Reaction score
4,374
Hebu jionee mwenyewe

IMG-20220523-WA0228.jpg
 
Hivi waandaji was Miss Tanzania HAKUNA aliyeishia hata form four?
 
sijui tumewahi kuwa serious katika nin[emoji1][emoji1].

gari yenyewe mwaka 2020 si walitoa vits chakavu??
 
Taifa gani?? Kwa manufaa yapi
Mshindi ndio Anapata faida.
pesa anayolipwa mshindi hata kama ni Elfu 10 tu, si kitu
Kikubwa anachata Ni umaarufu na Fursa.

Fursa Nyingi sana Ukiomba huku ukidai wewe ni Miss Tanzania, wanakuchukua chap.

ndo wanakujaga kwenda kutuwakilisha ulaya hao, mambo mbalimbali, hujui?
 
Back
Top Bottom