Makosa katika pesa, Usikope pesa ya riba ili uanzishe biashara

Haaaa pole
 
Kama Mangi nazingatia haya kwa asilimia kubwa!!
Japo nakwamakwama, lkn mambo yanasonga
 
Kama Mangi nazingatia haya kwa asilimia kubwa!!
Japo nakwamakwama, lkn mambo yanasonga
Pambana mkuu weka malengo mtangulize mungu mbele hakika majaribu utayashinda la umuhimu usikate tamaa
 
Asante mkuu. Nimeyazingatia mengi katika haya kwa muda mrefu sasa bila ya kuyasoma popote. Mengi yamekuwa "common sense" kwangu. Ila lipo moja ambalo nilijifunza kwa machungu baada ya kukosea - kukopesha marafiki na ndugu.
 
Asante mkuu. Nimeyazingatia mengi katika haya kwa muda mrefu sasa bila ya kuyasoma popote. Mengi yamekuwa "common sense" kwangu. Ila lipo moja ambalo nilijifunza kwa machungu baada ya kukosea - kukopesha marafiki na ndugu.
Pole sana mkuu lakini umejifunza kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…