Si sahihi kuandika maharifa, maalifa: Sahihi ni maarifa
Si sahihi kuandika hushahuri, ushahuri, ushauli: Sahihi ni ushauri
Si sahihi kuandika agharabu, Hagalabu: Sahihi ni aghalabu*(aghlabu)
Si sahihi kuandika hunaweza: Sahihi ni unaweza
Si sahihi kuandika hutakayo: Sahihi ni utakayo
Si sahihi kuandika Mahabara, maabala: Sahihi ni maabara
Si sahihi kuandika munaweza: Sahihi ni mnaweza
n.k
Si sahihi kuandika hushahuri, ushahuri, ushauli: Sahihi ni ushauri
Si sahihi kuandika agharabu, Hagalabu: Sahihi ni aghalabu*(aghlabu)
Si sahihi kuandika hunaweza: Sahihi ni unaweza
Si sahihi kuandika hutakayo: Sahihi ni utakayo
Si sahihi kuandika Mahabara, maabala: Sahihi ni maabara
Si sahihi kuandika munaweza: Sahihi ni mnaweza
n.k