Makosa Makubwa 3 ya Diamond ni haya

Makosa Makubwa 3 ya Diamond ni haya

Kama hujui hasira za kuzomewa, kamuulize Diamond. Jamaa kajua kuzomewa aiseeh, yaani hadi kakonda ghafla pale jukwaani.
Ova
 
DIAMOND ANA MAKOSA 3 MAKUBWA ALIYOTUTENDEA WATANZANIA:

1.Kosa la kwanza ni KUWA NA BIDII KWENYE MUZIKI WAKE...Hili ni kosa kubwa sana kwa Watanzania..Hakupaswa kuwa na bidii hivi..Angekuwa tu wa KAWAIDA kama wenzake waliopita ili AFULIE awaachie na wengine waje kwenye chati arudi Tandale kuuza Wali..

2.Kosa la 2 ni KUJITAMBUA YEYE NI NANI..Kwanini ajitambue wakati wenzie wenye majina walishindwa??Kwani yeye nani awe tofauti??Hii ni DHARAU KUBWA sana kwa Watanzania na Wanamuziki wenzie na inaonyesha ana KIBURI..Diamond kujua yeye ni Mwanamuziki mahiri na kutumia VALUE yake aliyoipata kwa mbinde kuiletea sifa Tanzania nje ya Mipaka ni KOSA KUBWA!

3.Kosa lake la 3 ni KUUHESHIMU MNO MUZIKI UNAOMPA HELA...Kwanini asiwe kama wakina Mr nanihii tu,kwani wao hawakuhit kama yeye?Mbona waliishi kawaida tu na kuuchukulia muziki poa hadi walipofulia na leo hata wakiingia Masai Club nobody cares..Kwani kufulia kitu gani?Diamond hakupaswa kuuheshimu Muziki kama kazi..Angefanya bora liende tu aimbe imbe yaishe..Sasa kujifanya Anatoa Collabo mara Davido mara Mafikizolo mara Trey Songs na K'Cee na Yemi Alade AMETUMWA NA NANI??Huku ni kutafuta sifa tu alipaswa awe mdogo milele awaachie na wenzie.. Kwa makosa haya ma3 WATANZANIA wameamua kumuadhibu..Diamond Anaringa...Ana dharau sana..Anaupenda sana Muziki uliompa JINA..HESHIMA..PESA..na ametafutiwa REPLACEMENT kwa sababu tu ANAHESHIMU MUZIKI KAMA KAZI na sio JUST SINGING FOR FAME...

Watanzania tumeamua kuadhibu MTU ANAYEHESHIMU KAZI YAKE iliyomtoa from Zero to Hero na tutamshusha kwa lazima taji apewe mwingine..Watanzania tunataka Diamond awe another Mr Nice ili tupate kitu cha KUCOMPARE...Shida yetu kuu wala sio dharau ila ni KWANINI DAI HASHUKI???? Hardwork Pays! Respect Pays! Knowing Your Value Pays! Kama alimpandisha MUNGU...Hakuna wa kumtoa pale... Nasibu..wakomeshe..Toa ule wimbo na MAFIKIZOLO wiki ijayo tuone kama watazomea Spika za redio zao... Nalala zangu MDOGO MDOGO...


Source ni:bikira wa kisukuma na repost by jestina geroge

http://instagram.com/officialjestinageorgeblog?modal=true


hahahahahahaha your such an artist, mbona atakomaaa, kiherehere chake cha kutoa video kali na kujishauwa kwenda kurekodia mara sauzi, eti ili kazi yake iwe nzuri, ye ni nani kwanza, malegendary wa mziki hawajawahi kwenda kufanyia video sauzi ye alimtuma nani kama sio sifa??

yeye kwa akili yake ya kitandale tandale alifikiria ndio tutampenda hakujua kuwa anatuboa?????
sisi tumeshazoa msanii anapanda kama moto wa kiberiti na kuzimika fasta, sasa yeye anatutokea wapi kungangania huko juu??? hizo ni dharau
buhahahaaaa mtoa mada umenichekeshaa sisi ndio watanzania bwana, maisha yetu hayahaya tumeridhika nayo.
 
kosa la nne kufundisha watu kuwa ili uwe mwanamuziki lazima uwe mzinzi,yule mi namuona mziznzi zaidi ya mwanamuziki mara wema ,mara penny,mara jokate

mpaka hapo umetaja wanawake zake watatu, kama kweli huna chuki binafsi na daimond taja wa kiba, tena taja wale waliovuma tuu, ukianza na wale wawili aliozaa nao.
 
Wanazomewa watumishi wa Mungu,wanasiasa,wachezaji mpira sembuse yeye?? kuzomewa sawa ila akomae tu ndio watz tulivyo....
 
Upuuzi wote huu wa kumponda msanii mwenye mafanikio kama DIAMOND ni kwa udhamin wa CLOUDZ MEDIA.
 
Mkuu ni kweli watu wenye chuki binafsi wanamchukia Diamond kwa kuwa tu amefanikiwa kupitia muzik, haya ndio matatizo ya kuendekeza njaa za buku 5, huwezi kumlinganisha Diamond na Ali Kiba, ktk single zake zote ni 3 tu ndizo zilizohit halafu ajilinganishe na mtu ambaye ametoa single zaidi ya 40 na zote zimehit, na bado zipo kny chat, hizo zitakuwa akili za kushikiwa kwa kuendekeza njaa. Media mbao zimewashika na mmeshikika! Endekezeni njaa mtaona mwisho wake, man unatakiwa uwe money fighter sio kutegemea uzomee ili ulipwe, life haiendi hivyo!
 
DIAMOND ANA MAKOSA 3 MAKUBWA ALIYOTUTENDEA WATANZANIA:

1.Kosa la kwanza ni KUWA NA BIDII KWENYE MUZIKI WAKE...Hili ni kosa kubwa sana kwa Watanzania..Hakupaswa kuwa na bidii hivi..Angekuwa tu wa KAWAIDA kama wenzake waliopita ili AFULIE awaachie na wengine waje kwenye chati arudi Tandale kuuza Wali..

2.Kosa la 2 ni KUJITAMBUA YEYE NI NANI..Kwanini ajitambue wakati wenzie wenye majina walishindwa??Kwani yeye nani awe tofauti??Hii ni DHARAU KUBWA sana kwa Watanzania na Wanamuziki wenzie na inaonyesha ana KIBURI..Diamond kujua yeye ni Mwanamuziki mahiri na kutumia VALUE yake aliyoipata kwa mbinde kuiletea sifa Tanzania nje ya Mipaka ni KOSA KUBWA!

3.Kosa lake la 3 ni KUUHESHIMU MNO MUZIKI UNAOMPA HELA...Kwanini asiwe kama wakina Mr nanihii tu,kwani wao hawakuhit kama yeye?Mbona waliishi kawaida tu na kuuchukulia muziki poa hadi walipofulia na leo hata wakiingia Masai Club nobody cares..Kwani kufulia kitu gani?Diamond hakupaswa kuuheshimu Muziki kama kazi..Angefanya bora liende tu aimbe imbe yaishe..Sasa kujifanya Anatoa Collabo mara Davido mara Mafikizolo mara Trey Songs na K'Cee na Yemi Alade AMETUMWA NA NANI??Huku ni kutafuta sifa tu alipaswa awe mdogo milele awaachie na wenzie.. Kwa makosa haya ma3 WATANZANIA wameamua kumuadhibu..Diamond Anaringa...Ana dharau sana..Anaupenda sana Muziki uliompa JINA..HESHIMA..PESA..na ametafutiwa REPLACEMENT kwa sababu tu ANAHESHIMU MUZIKI KAMA KAZI na sio JUST SINGING FOR FAME...

Watanzania tumeamua kuadhibu MTU ANAYEHESHIMU KAZI YAKE iliyomtoa from Zero to Hero na tutamshusha kwa lazima taji apewe mwingine..Watanzania tunataka Diamond awe another Mr Nice ili tupate kitu cha KUCOMPARE...Shida yetu kuu wala sio dharau ila ni KWANINI DAI HASHUKI???? Hardwork Pays! Respect Pays! Knowing Your Value Pays! Kama alimpandisha MUNGU...Hakuna wa kumtoa pale... Nasibu..wakomeshe..Toa ule wimbo na MAFIKIZOLO wiki ijayo tuone kama watazomea Spika za redio zao... Nalala zangu MDOGO MDOGO...


Source ni:bikira wa kisukuma na repost by jestina geroge

http://instagram.com/officialjestinageorgeblog?modal=true


Kosa la

4.USHAMBA
 
mpaka hapo umetaja wanawake zake watatu, kama kweli huna chuki binafsi na daimond taja wa kiba, tena taja wale waliovuma tuu, ukianza na wale wawili aliozaa nao.

Sijui kama unawajua,hajawahi kuwataja hadharani maana ni kuwadharirisha na kuwakera wapenzi/waume wao wa sasa.

Platz aliona sifa kuwataja hakufikiria hilo.
 
uliangalia kipindi cha mkasi cha kiba???? hapo mimi ndipo nilipowajulia, aliwanadi mwenyeweee kwa mdomo wake. situngagi hadithi mimi.
 
Back
Top Bottom