CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
Maonyesho ya Kilimo ya Nane Nane yana Makosa mengi sana ya kimkakati na nashindwa kuelewa kwa nini Waandaaji na watalamu hawalioni hili.
Maonyesho ya Nane nane yamekuwa yakifanyika kwenye kanda hizi.
1.Arusha
2.Dodoma
3.Mwanza
4. Tabora
5.Morogoro
6.Mbeya
7.Iringa
Simiyu sina uhakika sana huko kwa Andrea Chenge.
Katika hizo kanda moja huchaguliwa kuandaa kitaifa. Sana Dodoma na kwa nyakati kadhaaa ni huko Simiyu.
Haya Maonyesho hizo kanda zote huanza kwa wakati mmoja yaani tarehe 1 mwezi wa 8 na kumalizika tarehe 8.
Nikiwa kama mtalamu, Mvumbuzi, au Mfanya Biashara inabidi katika hizo kanda zote nichague kwa kwenda, hapa sana wengi huchagua Morogoro na Arusha ambako kuna Power sana na kuna kuwa na wahudhuriaji wengi sana.
Maana yake hizo kanda zingine zinazo bakia sitaweza kwenda kabisa, au nituma timu yangu watajigawa, hawa hawana utalamu na ninacho kizalisha wataishia kusema chukua namba mpigie mtalamu.Hii sio sawa kabisa.
Waandaaji kumbe wange gawa haya Maonyesho ya kanda katika tarehe tofauti.
Mfano:
Mwanza- Mwezi wa 5
Simiyu- mwezi wa 5 baada ya Mwanza kuisha
Tabora- mwezi wa 6 baada ya simiyu kuisha
Dodoma Mwezi 6 yakiisha ya Tabora
Mbeya Mwezi wa 7
Lindi mwezi wa 7 baada ya Mbeya
Arusha mwezi wa 7 wiki ya mwisho
Morogoro mwezi wa 8 Yanakuwa ni International au Arusha Mwezi wa 8 yanakuwa ni International
Kuwe na Perment place ya Maonyesho ya Kimataifa ya Kilimo pia yanaweza hata fanyikia Dar uwanja wa Sabasaba au Morogoro au Arusha.
Na yatambuliwe kabisa ni Maonyesho ya Kimataifa ya Kilimo ya Either Dar, Morogoro au Arusha au Dodoma.
Kuwe na sehemu moja na sio kuhama hama mara Shinyanga mara Dodoma, siasa ziachwe kwenye maonyesho.
Na ukweli ni kwamba lazima yawe sehemu iliendelea na yenye Biashara kama Dar, au Arusha au Morogoro au Dodoma.
Yakianza maonyesho ya Kimataifa maana yake hizo kanda zingine zinakuwa zisha maliza so wanaweza Move wakaja kushowa sasa kwa lile onyesho la Kimataifa.
Kenya wanatumia hii system na Maonyesho yao huanza kuanzia mwezi wa 4 au 5 huwa kuna ya Elidoreti, Kisumu, Nakuru, Mombasa na lile la Kimaitafa huwa ni la Nairobi International Agriculture Show.Hii hufanya mtu kuweza ku attend maonyesho yote.
Hii ya kufanya maonyesho nchi nzima kwa wakati mmoja hayana tija sana.
Maonyesho ya Nane nane yamekuwa yakifanyika kwenye kanda hizi.
1.Arusha
2.Dodoma
3.Mwanza
4. Tabora
5.Morogoro
6.Mbeya
7.Iringa
Simiyu sina uhakika sana huko kwa Andrea Chenge.
Katika hizo kanda moja huchaguliwa kuandaa kitaifa. Sana Dodoma na kwa nyakati kadhaaa ni huko Simiyu.
Haya Maonyesho hizo kanda zote huanza kwa wakati mmoja yaani tarehe 1 mwezi wa 8 na kumalizika tarehe 8.
Nikiwa kama mtalamu, Mvumbuzi, au Mfanya Biashara inabidi katika hizo kanda zote nichague kwa kwenda, hapa sana wengi huchagua Morogoro na Arusha ambako kuna Power sana na kuna kuwa na wahudhuriaji wengi sana.
Maana yake hizo kanda zingine zinazo bakia sitaweza kwenda kabisa, au nituma timu yangu watajigawa, hawa hawana utalamu na ninacho kizalisha wataishia kusema chukua namba mpigie mtalamu.Hii sio sawa kabisa.
Waandaaji kumbe wange gawa haya Maonyesho ya kanda katika tarehe tofauti.
Mfano:
Mwanza- Mwezi wa 5
Simiyu- mwezi wa 5 baada ya Mwanza kuisha
Tabora- mwezi wa 6 baada ya simiyu kuisha
Dodoma Mwezi 6 yakiisha ya Tabora
Mbeya Mwezi wa 7
Lindi mwezi wa 7 baada ya Mbeya
Arusha mwezi wa 7 wiki ya mwisho
Morogoro mwezi wa 8 Yanakuwa ni International au Arusha Mwezi wa 8 yanakuwa ni International
Kuwe na Perment place ya Maonyesho ya Kimataifa ya Kilimo pia yanaweza hata fanyikia Dar uwanja wa Sabasaba au Morogoro au Arusha.
Na yatambuliwe kabisa ni Maonyesho ya Kimataifa ya Kilimo ya Either Dar, Morogoro au Arusha au Dodoma.
Kuwe na sehemu moja na sio kuhama hama mara Shinyanga mara Dodoma, siasa ziachwe kwenye maonyesho.
Na ukweli ni kwamba lazima yawe sehemu iliendelea na yenye Biashara kama Dar, au Arusha au Morogoro au Dodoma.
Yakianza maonyesho ya Kimataifa maana yake hizo kanda zingine zinakuwa zisha maliza so wanaweza Move wakaja kushowa sasa kwa lile onyesho la Kimataifa.
Kenya wanatumia hii system na Maonyesho yao huanza kuanzia mwezi wa 4 au 5 huwa kuna ya Elidoreti, Kisumu, Nakuru, Mombasa na lile la Kimaitafa huwa ni la Nairobi International Agriculture Show.Hii hufanya mtu kuweza ku attend maonyesho yote.
Hii ya kufanya maonyesho nchi nzima kwa wakati mmoja hayana tija sana.