Makosa makubwa ya Uaandaaji wa Maonyesho ya Kilimo Nane Nane

Makosa makubwa ya Uaandaaji wa Maonyesho ya Kilimo Nane Nane

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2011
Posts
7,872
Reaction score
9,263
Maonyesho ya Kilimo ya Nane Nane yana Makosa mengi sana ya kimkakati na nashindwa kuelewa kwa nini Waandaaji na watalamu hawalioni hili.

Maonyesho ya Nane nane yamekuwa yakifanyika kwenye kanda hizi.

1.Arusha
2.Dodoma
3.Mwanza
4. Tabora
5.Morogoro
6.Mbeya
7.Iringa
Simiyu sina uhakika sana huko kwa Andrea Chenge.

Katika hizo kanda moja huchaguliwa kuandaa kitaifa. Sana Dodoma na kwa nyakati kadhaaa ni huko Simiyu.

Haya Maonyesho hizo kanda zote huanza kwa wakati mmoja yaani tarehe 1 mwezi wa 8 na kumalizika tarehe 8.

Nikiwa kama mtalamu, Mvumbuzi, au Mfanya Biashara inabidi katika hizo kanda zote nichague kwa kwenda, hapa sana wengi huchagua Morogoro na Arusha ambako kuna Power sana na kuna kuwa na wahudhuriaji wengi sana.

Maana yake hizo kanda zingine zinazo bakia sitaweza kwenda kabisa, au nituma timu yangu watajigawa, hawa hawana utalamu na ninacho kizalisha wataishia kusema chukua namba mpigie mtalamu.Hii sio sawa kabisa.

Waandaaji kumbe wange gawa haya Maonyesho ya kanda katika tarehe tofauti.

Mfano:
Mwanza- Mwezi wa 5
Simiyu- mwezi wa 5 baada ya Mwanza kuisha
Tabora- mwezi wa 6 baada ya simiyu kuisha
Dodoma Mwezi 6 yakiisha ya Tabora
Mbeya Mwezi wa 7
Lindi mwezi wa 7 baada ya Mbeya
Arusha mwezi wa 7 wiki ya mwisho
Morogoro mwezi wa 8 Yanakuwa ni International au Arusha Mwezi wa 8 yanakuwa ni International


Kuwe na Perment place ya Maonyesho ya Kimataifa ya Kilimo pia yanaweza hata fanyikia Dar uwanja wa Sabasaba au Morogoro au Arusha.
Na yatambuliwe kabisa ni Maonyesho ya Kimataifa ya Kilimo ya Either Dar, Morogoro au Arusha au Dodoma.

Kuwe na sehemu moja na sio kuhama hama mara Shinyanga mara Dodoma, siasa ziachwe kwenye maonyesho.

Na ukweli ni kwamba lazima yawe sehemu iliendelea na yenye Biashara kama Dar, au Arusha au Morogoro au Dodoma.

Yakianza maonyesho ya Kimataifa maana yake hizo kanda zingine zinakuwa zisha maliza so wanaweza Move wakaja kushowa sasa kwa lile onyesho la Kimataifa.

Kenya wanatumia hii system na Maonyesho yao huanza kuanzia mwezi wa 4 au 5 huwa kuna ya Elidoreti, Kisumu, Nakuru, Mombasa na lile la Kimaitafa huwa ni la Nairobi International Agriculture Show.Hii hufanya mtu kuweza ku attend maonyesho yote.


Hii ya kufanya maonyesho nchi nzima kwa wakati mmoja hayana tija sana.
 
Maonyesho ya Kilimo ya Nane Nane yana Makosa mengi sana ya kimkakati na nashindwa kuelewa kwa nini Waandaaji na watalamu hawalioni hili.

Maonyesho ya Nane nane yamekuwa yakifanyika kwenye kanda hizi.

1.Arusha
2.Dodoma
3.Mwanza
4. Tabora
5.Morogoro
6.Mbeya
7.Iringa
Simiyu sina uhakika sana huko kwa Andrea Chenge.

Katika hizo kanda moja huchaguliwa kuandaa kitaifa. Sana Dodoma na kwa nyakati kadhaaa ni huko Simiyu.

Haya Maonyesho hizo kanda zote huanza kwa wakati mmoja yaani tarehe 1 mwezi wa 8 na kumalizika tarehe 8.

Nikiwa kama mtalamu, Mvumbuzi, au Mfanya Biashara inabidi katika hizo kanda zote nichague kwa kwenda, hapa sana wengi huchagua Morogoro na Arusha ambako kuna Power sana na kuna kuwa na wahudhuriaji wengi sana.

Maana yake hizo kanda zingine zinazo bakia sitaweza kwenda kabisa, au nituma timu yangu watajigawa, hawa hawana utalamu na ninacho kizalisha wataishia kusema chukua namba mpigie mtalamu.Hii sio sawa kabisa.

Waandaaji kumbe wange gawa haya Maonyesho ya kanda katika tarehe tofauti.

Mfano:
Mwanza- Mwezi wa 5
Simiyu- mwezi wa 5 baada ya Mwanza kuisha
Tabora- mwezi wa 6 baada ya simiyu kuisha
Dodoma Mwezi 6 yakiisha ya Tabora
Mbeya Mwezi wa 7
Lindi mwezi wa 7 baada ya Mbeya
Arusha mwezi wa 7 wiki ya mwisho
Morogoro mwezi wa 8 Yanakuwa ni International au Arusha Mwezi wa 8 yanakuwa ni International


Kuwe na Perment place ya Maonyesho ya Kimataifa ya Kilimo pia yanaweza hata fanyikia Dar uwanja wa Sabasaba au Morogoro au Arusha.
Na yatambuliwe kabisa ni Maonyesho ya Kimataifa ya Kilimo ya Either Dar, Morogoro au Arusha au Dodoma.

Kuwe na sehemu moja na sio kuhama hama mara Shinyanga mara Dodoma, siasa ziachwe kwenye maonyesho.

Na ukweli ni kwamba lazima yawe sehemu iliendelea na yenye Biashara kama Dar, au Arusha au Morogoro au Dodoma.

Yakianza maonyesho ya Kimataifa maana yake hizo kanda zingine zinakuwa zisha maliza so wanaweza Move wakaja kushowa sasa kwa lile onyesho la Kimataifa.

Kenya wanatumia hii system na Maonyesho yao huanza kuanzia mwezi wa 4 au 5 huwa kuna ya Elidoreti, Kisumu, Nakuru, Mombasa na lile la Kimaitafa huwa ni la Nairobi International Agriculture Show.Hii hufanya mtu kuweza ku attend maonyesho yote.


Hii ya kufanya maonyesho nchi nzima kwa wakati mmoja hayana tija sana.
Hiyo ndio maana ya thinking outside the box. Big up mkuu

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Hongera sana kwa wazo bora.

Hofu yangu ni kwa hawa walamba asali kama watayachukua haya mawazo.
 
Binafsi ningependekeza hayo maonyesho yakafutwa kabisa, sioni tija yake kwa mkulima wa Tanzania. Zaidi yanatafuna pesa za walipa kodi kwenda kuwalipa posho maafisa wa serikali wasiojua hata kushika jembe.
Yale Maonyesho yanapaswa kuondolewa Serikalini na yakawa Pure Private, yaani yasiwe na Siasa, Usha wahi ona Maonyesho ya Utalii Arusha? Yale ni Private na yana fana sana, Kuna wakati wa Magu Serikali ilitaka kuyamiliki jamaa wakagoma.

Serikali ikigoma sana, Wakulima wanaweza andaaa Maonesho yao Private ya Kilimo, Wanaweza wakawa wanafanya hata mwezi wa 7 au 8 baada ya ile ya Serilali.

Ni kukodi Uwanja na kuandaaa Maonesho, ambayo yanakuwa ni Pure Agriculture
 
Hongera sana kwa wazo bora.

Hofu yangu ni kwa hawa walamba asali kama watayachukua haya mawazo.
Mwaka wa Kwa yalifanyika morogoro bila kuwepo na hizo kanda na idea ilikuwa yatakuwa yanafanyika hapo tu na watu tulishauriwa kujenga mabanda ya kudumu kwani maonyesho yatakuwa yakifanyika hapo kitaifa permanent ghafla walamba asali wakaiona fursa tukasikia Kanda nikachoka kabisa ndio ujenzi wa vibanda na maonyesho kukosa seriousness kukaanza
 
Maonyesho ya Kilimo ya Nane Nane yana Makosa mengi sana ya kimkakati na nashindwa kuelewa kwa nini Waandaaji na watalamu hawalioni hili.

Maonyesho ya Nane nane yamekuwa yakifanyika kwenye kanda hizi.

1.Arusha
2.Dodoma
3.Mwanza
4. Tabora
5.Morogoro
6.Mbeya
7.Iringa
Simiyu sina uhakika sana huko kwa Andrea Chenge.

Katika hizo kanda moja huchaguliwa kuandaa kitaifa. Sana Dodoma na kwa nyakati kadhaaa ni huko Simiyu.

Haya Maonyesho hizo kanda zote huanza kwa wakati mmoja yaani tarehe 1 mwezi wa 8 na kumalizika tarehe 8.

Nikiwa kama mtalamu, Mvumbuzi, au Mfanya Biashara inabidi katika hizo kanda zote nichague kwa kwenda, hapa sana wengi huchagua Morogoro na Arusha ambako kuna Power sana na kuna kuwa na wahudhuriaji wengi sana.

Maana yake hizo kanda zingine zinazo bakia sitaweza kwenda kabisa, au nituma timu yangu watajigawa, hawa hawana utalamu na ninacho kizalisha wataishia kusema chukua namba mpigie mtalamu.Hii sio sawa kabisa.

Waandaaji kumbe wange gawa haya Maonyesho ya kanda katika tarehe tofauti.

Mfano:
Mwanza- Mwezi wa 5
Simiyu- mwezi wa 5 baada ya Mwanza kuisha
Tabora- mwezi wa 6 baada ya simiyu kuisha
Dodoma Mwezi 6 yakiisha ya Tabora
Mbeya Mwezi wa 7
Lindi mwezi wa 7 baada ya Mbeya
Arusha mwezi wa 7 wiki ya mwisho
Morogoro mwezi wa 8 Yanakuwa ni International au Arusha Mwezi wa 8 yanakuwa ni International


Kuwe na Perment place ya Maonyesho ya Kimataifa ya Kilimo pia yanaweza hata fanyikia Dar uwanja wa Sabasaba au Morogoro au Arusha.
Na yatambuliwe kabisa ni Maonyesho ya Kimataifa ya Kilimo ya Either Dar, Morogoro au Arusha au Dodoma.

Kuwe na sehemu moja na sio kuhama hama mara Shinyanga mara Dodoma, siasa ziachwe kwenye maonyesho.

Na ukweli ni kwamba lazima yawe sehemu iliendelea na yenye Biashara kama Dar, au Arusha au Morogoro au Dodoma.

Yakianza maonyesho ya Kimataifa maana yake hizo kanda zingine zinakuwa zisha maliza so wanaweza Move wakaja kushowa sasa kwa lile onyesho la Kimataifa.

Kenya wanatumia hii system na Maonyesho yao huanza kuanzia mwezi wa 4 au 5 huwa kuna ya Elidoreti, Kisumu, Nakuru, Mombasa na lile la Kimaitafa huwa ni la Nairobi International Agriculture Show.Hii hufanya mtu kuweza ku attend maonyesho yote.


Hii ya kufanya maonyesho nchi nzima kwa wakati mmoja hayana tija sana.

Ni ushauri mzuri ila ungemuadress waziri wa kilimo moja kwa moja kwa kichwa hiki; BARUA YA WAZI KWA WAZIRI WA KILIMO NA MIFUGO; USHAURI.
 
Maonyesho ya Kilimo ya Nane Nane yana Makosa mengi sana ya kimkakati na nashindwa kuelewa kwa nini Waandaaji na watalamu hawalioni hili.

Maonyesho ya Nane nane yamekuwa yakifanyika kwenye kanda hizi.

1.Arusha
2.Dodoma
3.Mwanza
4. Tabora
5.Morogoro
6.Mbeya
7.Iringa
Simiyu sina uhakika sana huko kwa Andrea Chenge.

Katika hizo kanda moja huchaguliwa kuandaa kitaifa. Sana Dodoma na kwa nyakati kadhaaa ni huko Simiyu.

Haya Maonyesho hizo kanda zote huanza kwa wakati mmoja yaani tarehe 1 mwezi wa 8 na kumalizika tarehe 8.

Nikiwa kama mtalamu, Mvumbuzi, au Mfanya Biashara inabidi katika hizo kanda zote nichague kwa kwenda, hapa sana wengi huchagua Morogoro na Arusha ambako kuna Power sana na kuna kuwa na wahudhuriaji wengi sana.

Maana yake hizo kanda zingine zinazo bakia sitaweza kwenda kabisa, au nituma timu yangu watajigawa, hawa hawana utalamu na ninacho kizalisha wataishia kusema chukua namba mpigie mtalamu.Hii sio sawa kabisa.

Waandaaji kumbe wange gawa haya Maonyesho ya kanda katika tarehe tofauti.

Mfano:
Mwanza- Mwezi wa 5
Simiyu- mwezi wa 5 baada ya Mwanza kuisha
Tabora- mwezi wa 6 baada ya simiyu kuisha
Dodoma Mwezi 6 yakiisha ya Tabora
Mbeya Mwezi wa 7
Lindi mwezi wa 7 baada ya Mbeya
Arusha mwezi wa 7 wiki ya mwisho
Morogoro mwezi wa 8 Yanakuwa ni International au Arusha Mwezi wa 8 yanakuwa ni International


Kuwe na Perment place ya Maonyesho ya Kimataifa ya Kilimo pia yanaweza hata fanyikia Dar uwanja wa Sabasaba au Morogoro au Arusha.
Na yatambuliwe kabisa ni Maonyesho ya Kimataifa ya Kilimo ya Either Dar, Morogoro au Arusha au Dodoma.

Kuwe na sehemu moja na sio kuhama hama mara Shinyanga mara Dodoma, siasa ziachwe kwenye maonyesho.

Na ukweli ni kwamba lazima yawe sehemu iliendelea na yenye Biashara kama Dar, au Arusha au Morogoro au Dodoma.

Yakianza maonyesho ya Kimataifa maana yake hizo kanda zingine zinakuwa zisha maliza so wanaweza Move wakaja kushowa sasa kwa lile onyesho la Kimataifa.

Kenya wanatumia hii system na Maonyesho yao huanza kuanzia mwezi wa 4 au 5 huwa kuna ya Elidoreti, Kisumu, Nakuru, Mombasa na lile la Kimaitafa huwa ni la Nairobi International Agriculture Show.Hii hufanya mtu kuweza ku attend maonyesho yote.


Hii ya kufanya maonyesho nchi nzima kwa wakati mmoja hayana tija sana.
Maonyeshi ya Kimataifa yafangike Mbeya
 
Binafsi ningependekeza hayo maonyesho yakafutwa kabisa, sioni tija yake kwa mkulima wa Tanzania. Zaidi yanatafuna pesa za walipa kodi kwenda kuwalipa posho maafisa wa serikali wasiojua hata kushika jembe.
Ishia hapohapo mchawi wewe wenzako tunapiga hela kupitia hizo mambo



Ok mtoa mada sio lazma uwepo kote nchi kubwa hii tunagawana tu
 
Na pia waache kuyafanyia kwenye viwanja vyenye vumbi, wajenge pavilions
 
Back
Top Bottom